Hi wizara angepewa Magufuli au Mwakyembe,usingeona mauzauza haya.Kwenye mashule kuna Walimu vihiyo toka nchi jirani mpaka basi.Ilimradi anaongea Kiingereza ka ajiriwa.Arusha karibu shule zote za private zina wageni "wazungumza Kiingereza" wengi na kuwanyima ajiira wazawa.
Hawana uchungu na elimu ya Tanzania huku wakaguzi wakiwa wamelala usingizi wa pono wakisubiria posho.Watanzania Tumekwisha