Wafanyakazi wageni 'vihiyo' wasakwa

hivi ni msako gani wanaofanya kila wakifika wahusika wanajificha ni vyema jukumu la utoaji vibali uachiwe wizara moja kama uhamiaji ndio wanatoa vibali wanaweza kusema vibali hivyo ni feki jukumu la wizara ya kazi ni kuhakikisha kama kazi zinazofanywa na wageni ni kweli watanzania hawana sifa
Lazima tuige wenzetu wa nchi nyingine ni mgeni wa aina gani anaruhusiwa kufanya kazi kwenye nchi hizo na sio kupora ajira kama inavyofanyika hivi sasa
 
sasa hivi ali deal na wenye vyeti visivyo vyao,visivyo halisi na vyenye utata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…