Wafanyakazi wanaofanya kazi chini ya hospitali za kidini, yaani muajiri wao ni FBO lakini wana check namba na wanalipwa mshahara na serikali,
Je Inawezekana mfanyakazi huyu kuhama kuhamia kituo cha serikali 100%
Vipi kuhusu Haki zao zingine za kiutumishi kama vile kujiendeleza kielimu?
Naomba kuuliza
Je Inawezekana mfanyakazi huyu kuhama kuhamia kituo cha serikali 100%
Vipi kuhusu Haki zao zingine za kiutumishi kama vile kujiendeleza kielimu?
Naomba kuuliza