Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
Wafanyakazi wamekosa mtetezi kwa sasa; serikali tazameni haki hizi za watumishi:
1. Kodi kubwa mno za mishahara.
2. Kutolipwa malimbikizo ya madai ya mishahara (tatizo kubwa na la muda mrefu).
3. Kutopewa malipo ya likizo kwa muda muaafaka.
4. Kutopandishwa vyeo kwa muda muafaka.
5. Kunyimwa haki ya kujiendeleza na kutotambulika kwa elimu zao.
6. Kufanya kazi katika mazingira magumu.
7. Nk.
1. Kodi kubwa mno za mishahara.
2. Kutolipwa malimbikizo ya madai ya mishahara (tatizo kubwa na la muda mrefu).
3. Kutopewa malipo ya likizo kwa muda muaafaka.
4. Kutopandishwa vyeo kwa muda muafaka.
5. Kunyimwa haki ya kujiendeleza na kutotambulika kwa elimu zao.
6. Kufanya kazi katika mazingira magumu.
7. Nk.