Hivi majitu majingamajinga kama hili yanatokea wapi? hv hili jamaa haliwezi kuona kuwa wanafanzi ni wengi hvo hakuna nafasi ya kuweza kuwacomodate palke chuo? wanafanzi kufanyiwa usajili jamhuri inawasaidia nini ccm au inasaidiaje ccm? acheni ugando wa fikra wajinga nyie!!!!
Hv UDOOM ndio kinaitwaga chuo cha kata?
sasaivi tutakuwa tunawatukana inbox
kwanini wasifanye registration kwa kila college ili kurahisha zoezi?.
Ndan ya college wanatenga kwe departments, itasaidia zaidi.
jamani munaniumiza mtima mnapokiponda chuo cha udom kiasi hcho,hebu jaribuni kuyadisplay na mazur yake bas au ndo kina mabaya tu?!
eeh ndio!!
we ndo mjinga,miundo mbinu ya kuwa accomodate ipo ya kutosha...inaonekana hujawahi kufika udom chuo cha magamba tupuHivi majitu majingamajinga kama hili yanatokea wapi? hv hili jamaa haliwezi kuona kuwa wanafanzi ni wengi hvo hakuna nafasi ya kuweza kuwacomodate palke chuo? wanafanzi kufanyiwa usajili jamhuri inawasaidia nini ccm au inasaidiaje ccm? acheni ugando wa fikra wajinga nyie!!!!
we ndo mjinga,miundo mbinu ya kuwa accomodate ipo ya kutosha...inaonekana hujawahi kufika udom chuo cha magamba tupu
Kwahiyo nisiende kusoma udom au,ni shauri jamani
dah!kumbe?kwan vitabu vnavo2mika udsm,sua,iaa,mzumbe na ifm vko tofaut na vnavo2mika udom??