Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Labda adanganye watotoSema Mbowe naye kashindwa kulipanga hili igizo lake vizuri.. kuandaa tent na muziki imeharibu uhalisia.
Yani mpaka wewe unaempigia chapuo naona kazingua, kweli hii kali😂😂😂Sema Mbowe naye kashindwa kulipanga hili igizo lake vizuri.. kuandaa tent na muziki imeharibu uhalisia.
Kumtetea Mbowe na Polisi wa TZ ni kazi ngumu sana mkuu.Yani mpaka wewe unaempigia chapuo naona kazingua, kweli hii kali😂😂😂
Tupe maoni yakoCingwiyemisi wa siasa anaingia kazini sasa, mabaga fresh kazi anayo
Kuna DC Mstaafu, anaweza kuwa ndiye huyu JohnMzee mgaya huyo.
Ni vituko😂😂😂Kumtetea Mbowe na Polisi wa TZ ni kazi ngumu sana mkuu.
Kwani na wewe una akili.Huu upuuzi unaondelea ni Mbowe mwenyewe anayeweza kuukomesha vinginevyo atabakia na chawa tu wenye akili wote wataondoka.
Kwa nini unamwondoa 'Abdul'?Boni Yai 😂
Mbowe vs Lisu
Wewe upo team gani?
Mbowe anafikiri kwamba ameshainvest resources nyingi kwenye chama (fedha, muda, mali kupotea, mateso ya kuwekwa ndanietc) na anahisi hajavuna vya kutosha kufidia gharama aliyoinvest. CHADEMA kwake ni kama Biashara inayopaswa "kurudisha Return on Investment"Muda Siyo mrefu Tunaopenda Demokrasia na Haki tutakwenda kujua mbivu na mbichi, kama kweli CDM Wana nia ya dhati ya kutekeleza Demokrasia au ni wanafanya biashara na CCM.
Kama ni biashara basi yeye abakie na kampuni yake mkuuMbowe anafikiri kwamba ameshainvest resources nyingi kwenye chama (fedha, muda, mali kupotea, mateso ya kuwekwa ndanietc) na anahisi hajavuna vya kutosha kufidia gharama aliyoinvest. CHADEMA kwake ni kama Biashara inayopaswa "kurudisha Return on Investment"
Hii tabia ya kung'ang'ania madaraka ni gonjwa kubwa sana Africa, hasa pale ambapo incumbent anakuwa amefanya madudu mengi ambayo anajua yatamuanika zaidi pale ambapo ataondoka na mtu mwingine aingie madarakani
Lisu ana mihemko,Mimi ni muumini wa fikra mpya katika uongozi. Ni muumini wa 'kupokezana vijiti'.
Kwa miaka yote hiyo (20+ years) aliyoiongoza Chadema, mh Mbowe ameifanyia mengi Chadema. Sasa yatosha, apumzike, apishe fikra mpya na maono mapya.
Siyo lazima awe Lisu. Lakini, nadhani, Mbowe apumzike sasa.
-Kaveli-
Watu mna maneno😀Mbowe anafikiri kwamba ameshainvest resources nyingi kwenye chama (fedha, muda, mali kupotea, mateso ya kuwekwa ndanietc) na anahisi hajavuna vya kutosha kufidia gharama aliyoinvest. CHADEMA kwake ni kama Biashara inayopaswa "kurudisha Return on Investment"
Hii tabia ya kung'ang'ania madaraka ni gonjwa kubwa sana Africa, hasa pale ambapo incumbent anakuwa amefanya madudu mengi ambayo anajua yatamuanika zaidi pale ambapo ataondoka na mtu mwingine aingie madarakani
Ametoa ufafanuzi kwamba walimpa taarifa ya kupokea ugeni nyumbani kwake, ila hakujua ni ugeni unaohusu nini.Watu "wanavamia" ila wanakuta kuna hema kuubwa, viti, maji, soda, vitafunwa etc. Maigizo haya
Sio yeye peke yake. Ndivyo ilivyokuwa kwa Mbatia, Lipumba na Mrema. Ni mwendo wa kuvizia ROI tu. What else can you say if a man cling to power for 20 good years?Watu mna maneno😀
Kwahiyo mbowe anatafuta ROI kwa Chadema?
Na wewe unauamini huu ufafanuzi? Ugeni kwa viti vingi namna ile?Ametoa ufafanuzi kwamba walimpa taarifa ya kupokea ugeni nyumbani kwake, ila hakujua ni ugeni unaohusu nini.
Hivyo, aliandaa matents na viti.
na ameongezea kwamba alifungiwa ndani na familia yake kama mwali.
Lakini si alikuwa anagombea na wanachadema wanamchagua wenyeweSio yeye peke yake. Ndivyo ilivyokuwa kwa Mbatia, Lipumba na Mrema. Ni mwendo wa kuvizia ROI tu. What else can you say if a man cling to power for 20 good years?
Ile RUZUKU inayotoka Serikalini is a big temptation na hii ndio chanzo cha tatizo na migogoro kwenye haya makundi ya vyama
Kwani wewe huamini?.Na wewe unauamini huu ufafanuzi? Ugeni kwa viti vingi namna ile?
Hao ni ma nyumbu tuu! nimemshauri Mbowe asiwasikilize Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!Kundi kubwa la vijana wamejazana Nyumbani Kwa Freeman Mbowe mikocheni