Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Wanatekeleza msemo wa kutumia Dola ili wabaki madarakani......labda na Mahakama nayo ni Dola yao kwahiyo hawana wasiwasi...Judge atapindua ushaidi uwe wa kweli.Kama umefuatilia kesi ya mbowe humu JF ,utaona wazi wafuasi nguli wa CCMccm humu jukwaani wameanza kunyukana wao kwa wao,Je hii inamaana gani? Je, Mnyukano huu huenda upo ndani hata ya NEC ya Ccm?
Hakika mwamba Aboubakar Isike Mbowe siku moja ya kesi umewanyoosha hawa akina USSR
YEHODAYA na Victoire hawaelewi wakuungemkono au wajitoe Jf
CCM ni Muungano wa TANU na ASP Watanganyika wamelala usingizi mzito AfroShiraz Party imeshika hatamu pande zote.Kama umefuatilia kesi ya mbowe humu JF ,utaona wazi wafuasi nguli wa CCMccm humu jukwaani wameanza kunyukana wao kwa wao,Je hii inamaana gani? Je, Mnyukano huu huenda upo ndani hata ya NEC ya Ccm?
Hakika mwamba Aboubakar Isike Mbowe siku moja ya kesi umewanyoosha hawa akina USSR
YEHODAYA na Victoire hawaelewi wakuungemkono au wajitoe Jf
Kama umefuatilia kesi ya mbowe humu JF ,utaona wazi wafuasi nguli wa CCMccm humu jukwaani wameanza kunyukana wao kwa wao,Je hii inamaana gani? Je, Mnyukano huu huenda upo ndani hata ya NEC ya Ccm?
Hakika mwamba Aboubakar Isike Mbowe siku moja ya kesi umewanyoosha hawa akina USSR
YEHODAYA na Victoire hawaelewi wakuungemkono au wajitoe Jf
Leo sijakuona mahakamani na mzee mgaya kulikoniiiHahahaaaa........!
Nilizuiwa pale getini bwashee!Leo sijakuona mahakamani na mzee mgaya kulikoniii