Hao waliovua nguo nakubaki Na chupi ni NASa
tulia wewee mnyamwezi uliyepewa kibarua Na Lipumba-vu kumtetea humu.Bavicha Hao wanamlinda Tundu Lissu Nairobi
tulia wewee mnyamwezi uliyepewa kibarua Na Lipumba-vu kumtetea humu.
Mbaaff
Bavicha Hao wanamlinda Tundu Lissu Nairobi
Hao mabinti wanajidharirisha bure na vichupi vyao vichafu vichafu.[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Ni kilio kichungu kwa wana jubilee huku wakiandamana kote jijini wakiwa na mabango wakitaka kura zihesabiwe tena.
View attachment 591730
View attachment 591731View attachment 591732View attachment 591733
Lazima tutetee Uhuru wa mahakama. Bila mahakama hakuna tofauti ya Kenya na AfghanistanIla jembe LA kazi limetoa tamko Kali sana,
View attachment 591734
Tony254 pita huku upige kelele mitandaoni [emoji3] [emoji109] [emoji125]
Haha 1academ. This time kimenuka. Ukiona watu wa Jubilee wanademonstrate ujue wameshikwa pabayaIla jembe LA kazi limetoa tamko Kali sana,
View attachment 591734
Tony254 pita huku upige kelele mitandaoni [emoji3] [emoji109] [emoji125]
Tofauti kubwa sana ipo kati ya uhuru wa mahakama na yale yanajulikana kama "judicial activism" .Soma kwa undani uelewe kwanza kabla ya kuunga mkono kitu kibaya.Lazima tutetee Uhuru wa mahakama. Bila mahakama hakuna tofauti ya Kenya na Afghanistan
Kazi wanayo majirani