Wafuasi wa Mbowe akina Mrema, Munisi, Kilewo na Yericko wajifunze siasa za Uvumilivu kwa Dkt. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba!

Wafuasi wa Mbowe akina Mrema, Munisi, Kilewo na Yericko wajifunze siasa za Uvumilivu kwa Dkt. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
2015 baada ya CCM kumpata mgombea uRais shujaa Magufuli Wafuasi wa Lowassa aliyekatwa mapema hawakuendeleza tena malumbano walitulia Ili Chama kipate Ushindi

Ndio Leo umeona Alhaj Kimbisa anatoa Azimio na baadae Mpendwa Wetu Mh Rais Samia anamchagua Dr Nchimbi kuwa mgombea mwenza

Nimeona hapo Chadema akina Mrema, Munisi, Kilewo, Yeriko, Mashayo na Ntobi bado wamenuna ilhali uchaguzi ulikuwa huru na HAKI

Nawasihi akina Munisi wapate Darasa la Uvumilivu Kwa akina Peter Selukamba na Hussein Bashe Watoto wa Laigwanan Lowassa ambao hawajawahi kumvunjia Heshima Shujaa Magufuli katika siasa za CCM

Ahsanteni sana
 
Mngekua mnauweza uvumilivu wakina Ben Saanane wangepotea?
 
Back
Top Bottom