Wafugaji kuku mtabadilika lini?

Hahahaa shida ni kwamba wafugaji wengi wanafuga kwa Sifa yaani mtu anafuga ili aonekane na Majirani kwamba anafuga ila ukweli ni kwamba ana zuga.

Pia watu wana fuga kama part time yaani kwake kuku sio ishu sana kwa sababu mshahara upo, so bei hata ikiwa 0 yeye sio ishu kwake make akaunti yake inasoma.

Hiyo ndo sababu kubwa kwa nini bei hazipandi.

Pia watu hawataki kutumia akili wanategemea akili za madalali.
 

CHA KUJUA NI KIMOJA, MNALISHWA KUKU FEKI .... HUO MDA WAMEGUNDUA NAMNA YA KUKUZA KUKU FEKI .....
 
Kwa kweli it is very discouraging
 
Kweli mkuu wengi ni sehemu za kuzuga..wanakuwaga na pesa chafu
 
Dah mtoto upo vizuri upstair embu maliza hicho chuo uje kutupandishia bei angalaau 6000 wafugaji tukomboke
 
Soko ndio linaloamua bei sidhani kama kuna mfugaji anataka kuuza kwa bei ndogo....kama bei iliyopo sokoni ni sh 5000 wewe ukikomaa na kuuza 9000 nani atanunua!
 
Soko ndio linaloamua bei sidhani kama kuna mfugaji anataka kuuza kwa bei ndogo....kama bei iliyopo sokoni ni sh 5000 wewe ukikomaa na kuuza 9000 nani atanunua!
 
Soko ndio linaloamua bei sidhani kama kuna mfugaji anataka kuuza kwa bei ndogo....kama bei iliyopo sokoni ni sh 5000 wewe ukikomaa na kuuza 9000 nani atanunua!

Mkuu soko si ni demand and supply...... Usiniambie over the year supply ya kuku ipo fixed...... Kila kukicha watu wanaongezeka particularly kwenye majiji kama dar, mwanza etc.....Pia ukisema soko kuna buyer and seller wao nao wana play a crucial role kwenye kupanda na kushuka kwa bei ya kuku....Kwa akili yote ya mfanyabiashara sio akili ya kifugaji bali akili ya kufanya biashara siku zote gharama za kuendesha biashara zikipanda ni lazma tu bei nayo itapanda.... Sasa tatizo ni kwamba wafugaj weng wanaile mentality ya kifugaji but sio mentality ya kifanya biashara......Pia ukisema soko ndo linaamua jiulize siku kama ya leo ukienda kununua kuku na ukienda kununua kuku siku moja kabla ya chrismas au pasaka bei itakua sawa..... Wakat mfugaj yeye leo anauza kuku kwa bei hyo hyo ya 5500 na siku za sikukuu atalazmika auze kwa bei hiyo hiyo wakat huyo anaenunua kwa mfugaji akienda sokon anapandsha bei kuliko kawaida kisa tu ni sikukuu......
 
Ndio watu wanaongezeka jee wanaokula kuku ni kiasi gani? Siku za sikukuu demand inaongezeka kwa sababu nyumba nyingi wanabadili chakula na kula kuku siku hiyo...na nyama nyingine mbalimbali. Labda ungesema wafugaji wapige kampeni kuhimiza ulaji kuku ili kuongeza demanda hivyo kupata mwanya wa kupandisha bei!
 
Unavyozungumzia soko la kuku kuna vingi vya kuangalia, kwanza unazungumzia kuku kundi lipi? Broilers ,kienyeji au wa mayai.
Sasa kwa miji yetu hakuna soko kubwa la kuku maana bado lipo la ndani tu na hili limechangiwa sana na biashara ya kuku kushuka sana kwa sababu ya magonjwa ya mlipuko (mafua ya ndege) sasa soko kwa ndani siyo kubwa kulingana na wahitaji ila wafugaji wanapata faida kiasi kulingani na soko na huwa kwa sababu hiyo huwa linapanda na kushuka na halimuhakikishie mfugaji fixed profit, ila kwa wanaoendlea kufuga kwa ajili ya mayai wanalipa faida mayai bado soko ni kubwa kulinganisha na nyama
 
labda kuku wa kizungu ndio utanunua kwa sh 5500.lakini hakuna kuku wa kienyeji wa bei hiyo"kuku wa kienyeji wanaanzia elf10-14...majogoo yanaanzia elf15 mpaka elf 25.
kama kuna sehemu wanauza kuku wa kienyeji kwa elf5-6 ni PM nikawasombe wote.
NB:Hakuna kuku wa kienyeji wa sh elf5500 labda broilers
 
Broiler hao br,kuku wa kienyeji huwezi pata kwa bei hiyo hata huko vijijini
 
Soko ndio linaloamua bei sidhani kama kuna mfugaji anataka kuuza kwa bei ndogo....kama bei iliyopo sokoni ni sh 5000 wewe ukikomaa na kuuza 9000 nani atanunua!
Tatizo jamaa sio mfugaji ndiyo maana anakurupuka... Pasipo kujua kuwa kutokana na bei ya soko wafugaji wanapambana kushusha gharama ya chakula ili faida ipatikane
 
Tatizo jamaa sio mfugaji ndiyo maana anakurupuka... Pasipo kujua kuwa kutokana na bei ya soko wafugaji wanapambana kushusha gharama ya chakula ili faida ipatikane
Wewe unafuga? Mimi nisha fanyia watu kibao ukokotoaji wa gharama kwa kifupi watu wanafanyia hasara. Nikipata nafasi nitaeleza kwa namba
 
Mkuu unazungumzia kuku smart ama kuku zezeta?,kuku ambaye ukimweka sehemu unamkuta hapohapo atapandaje bei sasa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…