Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

duh!! Hatari sana mkuu
 
karibu kwa mchango au maswali mkuu
ukitaka kufuga hayo majibwa ukichukua mkubwa anachukua muda gani kukuzoea au inabidi umchukue akiwa mdogo ili akue akikuzoea
 
kwa uhitaji wa hao mbwa tajwa hapo juu na kwa kuongezea great dane
naweza kutoa connection moja ya hapa nairobi , kwa
breeder anaefahamika na kuaminika na kenya police,ni certified inshort,
anaweza kukufanyia delivery ya mpaka border na certificates kwa mbwa utakaehitaji
yupo sehemu inaitwa mirema kata ya githurai
 
Hebu tupe insta name yake tafadhali
 
Mr Kuku mwingine
 
Kukosa fahamu miezi mitatu si jambo dogo,pole sana kwa jamaa
 

Mbwa wa Joe Biden wafukuzwa White House​


Mbwa wanaomilikiwa na Rais wa Marekani Joe Biden na mke wake Jill Biden wameondolewa Ikulu ya White House baada ya mmoja wao, kwa jina Major, kuripotiwa kumuuma ajenti wa usalama.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Marekani, mbwa hao aina ya ‘German shepherd’ wamepelekwa nyumbani kwa Biden huko Wilmington, Delaware.
Hii ni kutokana na ukali wa Major dhidi ya wafanyakazi wa White House.
Bw. Biden na familia yake walimuasili Major mwaka 2018. Alikuwa mbwa wa kwanza kutoka makao ya wanyama kuishi katika Ikulu ya Marekani.



Mbwa wao, Champ, ana miaka 13.

 
unazuia vipi wasizaane?? vipi usafi maana mbwa kwa kuchafua mazingira wapo vizuri
 
Hapana mkuu, hawa mbwa wanafundishika na wana adabu sana kwa mmiliki/ mlishaji, tabia moja nzuri ya mbwa wote huwa hawamgeuki mlishaji, labda usijishughulishe nao kama Kingunge ni hatari sana.
kwani kingunge ilikuaje? Boerbol washawahi mgeuka dada mmoja hivi ndugu yangu
 
vitu gani mbwa anafundishwa hasa na anatii kama huyo GS mnayemsifia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…