mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
aisee watu wana mawe, tibetan mastiff si $50,000....Mkuu bongo kuna mpaka tibetan mastiff.
Hao Kangal na Caucasian wapo toka 2017 kipindi icho namimi nafuga.
Yupo mtu mmoja anaitwa Nuhu, yuko Kigamboni. Ana page instagram nadhani ..! yupo yule Ras Arusha alabai anao.
Bongo kuna breed nyingi sana, watu wamedare kweli, wale St bernard na jamii nyingi za large breed zipo mkuu.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye pedigree ndo sina uhakika mkuu.aisee watu wana mawe, tibetan mastiff si $50,000....
labda sio pedigree nzuri
Duh! Wanavuta bangi,na hakika wanalewa. Sasa, ni walinzi,viburudisho au?Nina German shepherd wangu nyama huwa naenda Machinjoni kuwachukulia ,hawali kitu kingine zaidi ya nyama na maziwa
Ofcoz nikila ganja zangu nao huwa wanavuta ,kila jumapili nawatia Red wine glass basi burudani kabisa.
Napenda mbwa sana kiasi kwamba wananipa faraja
Wewe una breeds wangapi?Hapo kwenye pedigree ndo sina uhakika mkuu.
Watu wana mawe sana asee, kuna breeders bongo wako njema sana na wanaruhusu kutembea uone na ukitaka pedigree papers unaonyeshwa.. !!
Sisi wengine machizi mbwa tumetembelea mabreeders mpaka Mwanza huko asee.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Mimi nina Rotweiller na boerboel tu mkuu.Wewe una breeds wangapi?
Rw ni mbwa mkali sana naogopa kufuga nyumbani labda shabaniMimi nina Rotweiller na boerboel tu mkuu.
Napasuka sana misosi sio mchezo.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa anaitwa Rasta, jamaa ana mbwa wazuri sanaHapo kwenye pedigree ndo sina uhakika mkuu.
Watu wana mawe sana asee, kuna breeders bongo wako njema sana na wanaruhusu kutembea uone na ukitaka pedigree papers unaonyeshwa.. !!
Sisi wengine machizi mbwa tumetembelea mabreeders mpaka Mwanza huko asee.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Ipo siku utanikubali, huyo koko ni sifa tu mchukue mwenyewe mbadiilishie maisha utaona tu..Uongoo
Mwal wa mathe hii ni uongoo
Nakuletea ka mbwa koko kamoja ukatrain basi kawe ka kishua shua.
Hivi huwa mnajiamini nini kumfuga Rotweiller? Yeye na Pit Bull hawa mbwa mimi nawaogopa sana.Mimi nina Rotweiller na boerboel tu mkuu.
Napasuka sana misosi sio mchezo.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
turkish malkli hii,Mimi nina Rotweiller na boerboel tu mkuu.
Napasuka sana misosi sio mchezo.
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
subscribedGerman shephard;
Kama anavyoonekana hapo juu kwenye picha;
Huyu kwangu ni mbwa bora kabisa kwa ulinzi na Kibiashara;
Mbwa huyu ana nguvu nyingi,
Anafundishika kirahisi na
mwenye mvuto machoni.
Katika majeshi ya nchi nyingi
anatumika kama mmoja wa askari cc Waziri Lugola..hahaha.
Sababu kubwa ni moja yambwa wenye akili na kufundishika.
mbali na majeshi ya nchi mbalimbali kumtumia, pia watu binafsi humtumia kwa ulinzi.
Mbwa huyu anasoko sana endapo utakuwa na mbegu nzuri kwani uzao mmoja waweza kupata vitoto 5 na kuendelea.
Kitoto cha miezi 2 huuzwa kuanzia 700,000 hadi 1,200,000 hapa bongo na Kenya zaidi
SIFA YA MBEGU BORA
1. Masikio yaliyosimama
2. miguu ya mbele ni mirefu
kuzidi ya nyuma...
3. kifua kikubwa
4. miguu ya nyuma kupinda
5. mdomo mrefu
6. rangi ya kaki/kahawia na nyeusi mgongoni
Nipo mkuu kwema?Kijana wangu upo?
Jambo la kheri sana mkuuKwema sana mkuu