Wafungwa 182 wapoteza maisha Gereza la Goma

Wafungwa 182 wapoteza maisha Gereza la Goma

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Usiku wa tarehe 26 kuamkia 27 January 2025,gereza la Munzenze huko Goma, lililokuwa na wafungwa 4,475, badhi ya majengo yalichomwa moto na wafungwa, waliokuwa wakifanya jitihada za kujinasua, kutokana habari iliyokuwa imeenea mji kuwa kundi la M23 linakaribia kuuteka, na huku walikuwa wakisikia milio ya bunduki ikilindima.

Wafungwa walianzisha vurugu na kuchoma magodolo humo humo ndani, na kusababisha Moshi mkali, uliowalazimu walizi kuja kuwafungulia.

Kwa kuwa wafungwa walijua kinachoendelea nje, walivunja ukuta na ukuta kuo wa katikati kuangukia wenzao waliokuwa chumba kingine,ambao ni wanawake.

Wengi wa wafungwa hawa walikuwa wanajeshi,kutoka maeneo tofauti, badhi wakitumikia kifungo, wengine wanaokadiliwa kufikia asilimia 90 wakisubiri hukumu yao.

Walio wengi walikuwa wakikabiliwa na kesi za mauaji.
Wafungwa hao walipotoka walienda kuchoma upande wa wanawake pia, huku 16 wakiokolewa. Wengi wao walibakwa. Ngazi za serikali, zilitangaza kuwa waliofaliki ni 141.

Msemaji wa kisiasa wa AFC/M23, Corneille Nangaa, alisema watu hao waliotoroka gereza, wapo mjini Goma walikojificha na wanaendelea kusakwa,huku badhi wakikamatwa, kwa lengo la kurudishwa mahabusu na kuendelea kutumikia vifungo vyao.
 
Doh watu wangese hadi kwenye hatari unapata nguvu ya kusimamisha ubabe
Hivi brother, unamjua mtu aliekaa gerezani mda mrefu? Af kumbuka wale jama kwa moshi wa nyasi hawajambo. Hivyo wengi wao kawaida. Kuna video niliona X, ntaitafuta kama ntaipata, mshikaji alikuwa anagegeda mdoli wenzake wanapita
 
Hiyo nchi igawanywe, ni kubwa mno
 
Kwahiyo hvyo ndo vigezo vyako pendwa?

Hongera mkuu.
Nimemaanisha kuwa mwanaume siku zote huwa achagui hali ambayo ipo kwa wakati uho mkuu anapo pata chance haoni mda wakupoteza anaitumia kulingana na uwezo wake mimi pia mwanaume naelewa hiyo hali
 
Nimemaanisha kuwa mwanaume siku zote huwa achagui hali ambayo ipo kwa wakati uho mkuu anapo pata chance haoni mda wakupoteza anaitumia kulingana na uwezo wake mimi pia mwanaume naelewa hiyo hali
Hapo kwa hiyo kuna mmoja wa kukimbia jera na kusepa na ngoma eh!
 
Back
Top Bottom