Wafungwa kuwa na simu za kiganjani!

Nyani Ngabu said:
Ebana Joka vipi babu? Sasa mkuu vipi "ze dataz" za Salim?

Nyani Ngabu,

..dogo hukuii?

..anzisha thread basi ya "ze dataz" za Salim labda unaweza kusaidiwa.

..ukiendelea hapa utakuwa unavuruga mjadala wa watu.
 
Nyani Ngabu,

..dogo hukuii?

..anzisha thread basi ya "ze dataz" za Salim labda unaweza kusaidiwa.

..ukiendelea hapa utakuwa unavuruga mjadala wa watu.

Kwanza acha dharau. Huwezi kuniita dogo. Hunijui na hujui nina umri gani na ninafanya nini for a living.....tafadhali acha kuniita dogo.

Pili, kuna thread moja ilianzishwa lakini hukutokea...

Ukinihakikishia utakuja basi ntaanzisha....
 
Nyani Ngabu said:
Kwanza acha dharau. Huwezi kuniita dogo. Hunijui na hujui nina umri gani na ninafanya nini for a living.....tafadhali acha kuniita dogo.

Pili, kuna thread moja ilianzishwa lakini hukutokea...

Ukinihakikishia utakuja basi ntaanzisha....

Nyani Ngabu,

..acha jazba. mtu akikuita dogo haimaanishi amekudharau.

..kama una usongo sana na "ze dataz" za Dr.Salim Salim anzisha thread.

..tafadhali heshimu thread ya watu. mambo ya SAS siyo mahala pake hapa.
 
Nyani Ngabu,

..acha jazba. mtu akikuita dogo haimaanishi amekudharau.

..kama una usongo sana na "ze dataz" za Dr.Salim Salim anzisha thread.

..tafadhali heshimu thread ya watu. mambo ya SAS siyo mahala pake hapa.

Sasa mtu akikuita dogo anamaanisha nini?
 
Haya tena makubwa.sasa waJF msije kushangaa tukiambia simu iliyotumika haijulikani ni ya nini.hapa askari magereza wanahusika kabisa.lazima wanawekewa vocha na wafungwa then wanaongea na ndugu jamaa na marafiki.Mi napenda kumshukuru huyu mwanahabari mana tusingejua haya.
 

Mjinga huyu Nanyaro na nadhani naye ana akili za kifungwa fungwa vile maana ukifungwa wanakuwa wamefunga akili yako pia.
Pale Kisutu kwa Hakimu Mwakenja walifuata nini kama ilikuwa ni issue ya kupelekwa mahabusu?
Ilikuwaje hakimu awafukuze kwamba sikuwaita kama suala lilikuwa ni kupelekwa mahabusu tu?
Hivi huyu mjinga anadhani sisi ni wadanganyika bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…