Boimanda jr zubeir
Member
- Feb 24, 2012
- 6
- 0
Kama kweli waliwaua wenzao kwa kukusudia waache wateseke
Mkuu unataka kuniambie tenure ya judge/magistrate hakuna hapa kwetu..?ikiwa katiba inaweka wazi kila mtu ana haki ya kuishi basi hii adhabu ifutwe tu..Mkuu fanya uwatembelee hawa wafungwa uwaone...