Waganda hii sasa misifa

Wakati Waganda wameenda Misri kuweka kambi na kucheza mechi za kirafiki (wanafanya maandalizi)

Sisi Watz tunakusanya wasanii na watu maarufu kusema "NI ZAMU YETU" (Tunafanya hamasa)

Ngoja tusubiri tuone nini kitashinda kati ya MAANDALIZI na HAMASA
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri nawewe ulibebe kama lilivyo usipunguze wala kuongeza kitu " nizamu yetu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…