Waganda ni wasafirishaji wakubwa wa unga wa mahindi Ulaya ilhali si wakulima wakubwa

Waganda ni wasafirishaji wakubwa wa unga wa mahindi Ulaya ilhali si wakulima wakubwa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1542028148376.jpeg

Hii ni packaging ya sembe kutoka Uganda inauzwa £8.00 kwa kilo mbili.
Waganda si wakulima wa mahindi kama sisi lakini wamefanikiwa kuteka soko la unga wa ugali Ulaya waishindana na wa South Africa.
 
Uganda wanalima sana mahindi nenda mwanza kaulize kuna kipindi mahindi kutoka Uganda ndio yanatawala soko kutokana na unafuu wa bei, ukilinganisha na bei ya mahindi ya hapa nyumbani
 
1542106034568.jpeg
Iwisa ni wa South Africa 🇿🇦
 
Sisi kwa kweli tumepumzika sana sana sana na ni watu wa kuridhika. Mtu akiteuliwa anasubiri hela yake mwishobwa mwezi baaaasi. Wenzetu wanahangaika kuingiza bidhaa za chakula kwenye nchi za wenzetu viwango vinazingatiwa sana. Sisi ilitupasa watu wawe na target ya nchi tunayotaka kufanya nayo biashara tuangalie standard zao na tuangalia wanataka vifungashio gani then tujiongeze kuwasafirishia. Kwa mf. Kenya wanatuzidi kwenye vifungashio na uchangamkiaji wa masoko huku tupo tupo tuu
 
hata hivyo mkuu uganda ndio nchi yenye wajasiliamali wengi kwa ratio kuliko nchi yoyote duniani.
Ngoja wakomae wanaweza kutengeneza soko la waajiriwa kutokea bongo.
 
Write your reply...
mbongo mwenyewe kusafiri nje ya afrika ni mtihani mkubwa..
 
Tanzania mtumishi kutoka nje ya nchi mpaka Rais akubali.
We have long way to go
 
Back
Top Bottom