Waganda wafukuza Watanzania 200 kutoka Migingo, wanaishi sasa kama wakimbizi Kenya

 
Kwa ukubwa wa kisiwa hicho, wahamiaji 200 ni wengi sana. Ni sawa tu wafukuzwe , hata sisi tuliendesha operesheni sangara
 
Toka JF yetu
 
Kwa kuwa Kenya wana rekodi nzuri ya riadha kimataifa watumie nafasi hiyo ya ukimbizi vizuri ili kutuletea medali!
 
Kwa akili za authorities za TZ hao ingekuwa ni Wakenya au Wauganda wamekamatwa kwenye kisiwa cha TZ basi saizi wangekuwa washaliwa na samaki maana wangewazamisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…