Kweli kabisaJuu ya swala la jini mahaba lady jay dee amejitia aibu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
sasa akitolewa kwa jina la yesu itabidi na nyimbo abadili ziwe za injili.jambo ambalo nadhani kiutunzi hatweza.inabidi atumie njia zilezile jini lilivyomuingiaKatka Jina la Yesu aliye hai Waganga washindwe
jina mahaba & mganga wapi na wapi
Waende wakatolewe kanisani buree
waganga satamfirisi hao ni waganga njaa mno.
Hata mimi niliona kipindi hiki ila sikuwa nimefahamu reality yake nilifikiri ni maigizo.
Katka Jina la Yesu aliye hai Waganga washindwe
jina mahaba & mganga wapi na wapi
Waende wakatolewe kanisani buree
waganga satamfirisi hao ni waganga njaa mno.