Waganga wa jadi

Waganga wa jadi

king kan

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
1,639
Reaction score
2,066
Wanajamvi, kwanza kabisa nawatakia wiki njema yenye baraka kwa wale watakaopokea baraka mpya jumapili. Wenye uzoefu na waganga wa jadi wale wanaotibu magonjwa kwa kupaka dawa za kienyeji mwilini nataka kufahamu. Je hizo dawa zina ubora kweli? Na wanapowapaka watu, limit ni sehemu gani mwilini (manake kuna siku nililazimika kutolewa nje ili mganga amtibu rafiki yangu wa kike, nilishangaa sana kwa sababu inaoneka kama vile alimvua nguo zote.). Wazoefu naombeni msaada wenu.
 
Mkuu.@king kan wewe kilichokushangaza wewe kutolewa nje na huyo rafiki yako wa kike kuvuliwa nguo zote?

na Wewe kafanye uchunguzi kamtafute Mganga wa kike akuvue nguo zote ufanyiwe Dawa ili uweze kujuwa

kuwa kuna dawa za kuvuliwa nguo zote zipo. Kwani Ma-Daktari wanapomfanyia mgonjwa wa kike mwenye mimba kumzalisha

huwa hawamvui nguo zake?au Mwanamke mwenye mimba anazalishwa huku amevaa nguo zake mkuu? Unashangaa rafiki yako wa kike

kuvuliwa nguo na Mganga wa Kienyeji? Ni Kitu cha kawaida huenda alikuwa anatakiwa achanjwe dawa mwilini mwake

wote saa ingine ulikuwa unarogwa wewe ili uongeze mapenzi mengi kwake hebu jaribu kuchunguza tangu

achanjwe huyo rafiki yako wa kike je unampenda zaidi au humpendi? kama unampenda zaidi basi dawa

itakuwa imekula kwako jihadhari kwenda kwa Waganga utapatikana na kufunikwa ukasahau hata na kwenu

na familia yako yote hutoweza kuwasikiliza utamsikiliza huyo rafiki yako wa kike tu shauri yako utanyeshwa Limbwata.
 
>Ulimuuliza mkeo namna alivyotibiwa?
Kama unadhani kunakipya alichotendewa ni vyema ukaujua ukweli kwani siku hizi magonjwa ni mengi.
 
Back
Top Bottom