Waganga wa kienyeji acheni utapeli

Waganga wa kienyeji acheni utapeli

Yupo jamaa mwanza ,kisesa hapo ,yule nguli nimemsahau jina ,enzi hizo nlienda na jamaa fulani alieenda kushughulikiwa mambo yake ,nilipatana na line ndefu ya wamama wenye kutafuta dawa hizi ,wengine wajawazito wamekuja kuleta shukrani sema hata jina simkumbuki
 
Waganga!wacheni utapeli na uongo jamani, pesa ni ngumu etii.

Kuna mama mmoja jirani yetu kaja kutusimulia kilichomkuta yani ni vituko.
Huyu mama ana matatizo ya uzazi kwa muda mrefu sasa.

Umri unakwenda na mtoto hajapata hivyo anajaribu kwenda sehemu tofauti tofauti ili na yeye aitwe mama siku moja,sasa ana rafiki yake akamshauri waende kwa mganga.

Kufika kule anakwambia watu walikuwa wamejaa sana.Kufikia zamu yake aliingia kwa huyo mganga ila hilo sharti alilompa hata sisi aliotuhadithia tulitoa vicheko sana.

Aliambiwa afanye kuhesabu hivi vidoti vyeusi mwilini tunavyoviita ndugu kisha akamwambie vipo vingapi mwilini kisha atampa dawa ya kupata ujauzito.

Hahaha kweli Waganga noma Sh. 2000 yake ya ramli ilienda bu
 
Waganga njaa ni wengi ila wa ukweli pia wapo lakini ni wachache,mimi nilikuwa siamini mpaka nilipompata mmoja wao
 
Back
Top Bottom