Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ati mgombea mmoja wa urais waganga wake wamedhibitiwa na mmoja wa watu wake wa karibu kiasi kwamba ameambiwa hawezi kumtimua huyo jamaa kwa sababu akimtimua tu mambo yake yataenda kombo. Kumbe yule jamaa imedokezwa kuwa amewalipa waganga hao kiasi kikubwa cha fedha ili wamuambie mgombea huyo habari hizo kuwa "fulani ndiyo nyota yako, ukimuondoa tu na wewe umekwisha".
Ukiondoa huo baadhi ya wagombea wengine wameanza kutembelea "washauri hawa" kwani Sheria ya Gharama za Uchaguzi haikatazi gharama za ushauri!!!!
Ukiondoa huo baadhi ya wagombea wengine wameanza kutembelea "washauri hawa" kwani Sheria ya Gharama za Uchaguzi haikatazi gharama za ushauri!!!!