waganga wa kienyeji huwa ni wajanja sana , wanatoa masharti magumu mara unyayo wa nani , mara nguo ya ndani sasa wamehamia kwenye kipengere kigumu mnooo,
jamaa kaenda anataka apatiwe dawa akaambiwa
dawa ipo ila sharti moja aoneshe hata kipande cha cheti cha mkuu wa mkoa maarufu
kashindwa, maana ni vigumu kukipata