MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Yaani hawa waganga wataendelea na shughuli zao tuu..hawatambui kauli ya Pinda Kufuta Leseni zao na kuwataka waombe leseni upya!
Je huu ndo utawala wa Sheria?
Au Watz hatuigopi serikali?
Sijui yaani nihamie kule China!!!!
We acha tu!
Source: BBC NEWS | Africa | Tanzania witchdoctors flout ban
Ni nini tafsiri hasa ya Mganga wa Kienyeji? Mganga wa Tiba za Jadi? Mtu anaye prescribe namna ya kupata utajiri au kufanikiwa nae ni mganga?