Waganga wa tiba asili warusha vijembe kwa wachungaji na manabii

Waganga wa tiba asili warusha vijembe kwa wachungaji na manabii

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Waganga wa tiba asili wakiongea na viongozi wa serikali leo mjini Sumbawanga wamesema kuwa wachungaji na manabii wa makanisa mengi ni matapeli.

Katika mkutano ulliowakutanisha viongozi wa serikali wa wilaya ya Sumbawanga wamesema chumvi na maji wanayowauzia waumini wao haina upako wo wote. Pia wamesema mara nyingi wachungaji na manabii hao huenda kwao kupata madawa ambayo huyatumia katika mahubiri yao.

Waganga wa tiba asili hao wanawashangaa wahubiri hao kuwazuia waumini wao kwenda kupiga ramli wakati wao wanapiga ramli makanisani. Wamedai wahubiri hao huenda kwao kupiga ramli na kutumia ramli hizo kwa waumini wao.

Waganga hao wamedai ramli haijazuiwa bali ramli chonganishi ndiyo iliyozuiwa.
 
IMG-20240724-WA0414.jpg
 
Waganga vs manabii wacha tuone mshindi.

Hawa wote ni mapacha.
Mganga anakupa sharti ukiwa unatoka ndani utanguluze mguu wa kushoto🤣 sasa subiri utakavyo ichanganya miguu hapo mlangoni kwako.

Mganga anajua kabisa hutoweza ilo sharti nenda uteguke miguu mwenyewe.

Nabii anakwambia jion ya leo nataka nikufungue pokea gari, pokea nyumba, pokea mchumba ila hawezi kukwambia pokea hela🤣🤣🤣🤣 nyieee
 
Waganga wa tiba asili wakiongea na viongozi wa serikali leo mjini Sumbawanga wamesema kuwa wachungaji na manabii wa makanisa mengi ni matapeli.

Katika mkutano ulliowakutanisha viongozi wa serikali wa wilaya ya Sumbawanga wamesema chumvi na maji wanayowauzia waumini wao haina upako wo wote. Pia wamesema mara nyingi wachungaji na manabii hao huenda kwao kupata madawa ambayo huyatumia katika mahubiri yao.

Waganga wa tiba asili hao wanawashangaa wahubiri hao kuwazuia waumini wao kwenda kupiga ramli wakati wao wanapiga ramli makanisani. Wamedai wahubiri hao huenda kwao kupiga ramli na kutumia ramli hizo kwa waumini wao.

Waganga hao wamedai ramli haijazuiwa bali ramli chonganishi ndiyo iliyozuiwa.
wananyang'anyana wateja
 
Waganga wa tiba asili wakiongea na viongozi wa serikali leo mjini Sumbawanga wamesema kuwa wachungaji na manabii wa makanisa mengi ni matapeli.

Katika mkutano ulliowakutanisha viongozi wa serikali wa wilaya ya Sumbawanga wamesema chumvi na maji wanayowauzia waumini wao haina upako wo wote. Pia wamesema mara nyingi wachungaji na manabii hao huenda kwao kupata madawa ambayo huyatumia katika mahubiri yao.

Waganga wa tiba asili hao wanawashangaa wahubiri hao kuwazuia waumini wao kwenda kupiga ramli wakati wao wanapiga ramli makanisani. Wamedai wahubiri hao huenda kwao kupiga ramli na kutumia ramli hizo kwa waumini wao.

Waganga hao wamedai ramli haijazuiwa bali ramli chonganishi ndiyo iliyozuiwa.
du!!!" SUNGURA KAMKABA TEMBO"!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom