Wageni vs Wenyeji kutokuelewana

Wageni vs Wenyeji kutokuelewana

kookaburra

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
563
Reaction score
1,416
Nimeletewa kisa ndugu wa mume katembelea hii family ila baada ya siku chache tu anawanunia wenyeji wake, lakini pia nimeshaona na kusikia pia sehemu tofautitofauti. Naomba mnisaidie hivi hii hali ya kutokuelewana kati ya wenyeji na wageni hivi inasababishwa na nini.

a/Wewe umetembelea mahali mwanzoni utapafurahia lakini unapokaa kwa muda siku ya nne tu unapachukia na pengine kuwachukia wakazi wa hapo,hivi huwa nini hiki. Imeshawahi kukutokea?

b/ Umepokea wageni lakini muda mfupi baadae mnakwaruzana, je ni nini husababisha hali hii.
 
Yaani unakutwa bwana shemeji/kaka wa mke, amekaa sebuleni tena yupo kifua wazi na chini amefaa kinyasa alafu ameshikilia na rimoti...😜😜
Hapo ndipo ugomvi huanza na watoto kumchukia uncle kwa kujimilikisha tv...😅😅
 
Unakuta mgeni amekuja alafu ikifika jioni anatoka kwenda kulewa na anarudi saa nane za usiku, yaani baba mwenye nyumba ndipo aamke kwenda kumfunguli geti/mlango na asubuhi anaamka saa nne kisha anaulizia kama chai ishapikwa...😂😂
 
Unakuta mgeni amekuja alafu ikifika jioni anatoka kwenda kulewa na anarudi saa nane za usiku, yaani baba mwenye nyumba ndipo aamke kwenda kumfunguli geti/mlango na asubuhi anaamka saa nne kisha anaulizia kama chai ishapikwa...[emoji23][emoji23]
Daaahhh, mh mjumbe uneupiga mwingi sana, magoli 4 kwa nunge[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ahsante sana kwa muongozo huu.

NB: Ukiwa mahali/ugenini fuata taratibu za huko(ugenini). Ili kufanikiwa kwa hilo, ukifika sehemu husika dadisi namna watu wanavyoishi na wewe uige hiyo namna hadi pale utakapoondoka ukaishi kwa namna yako huko kwingine(kwako)
 
Daaahhh, mh mjumbe uneupiga mwingi sana, magoli 4 kwa nunge[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ahsante sana kwa muongozo huu.

NB: Ukiwa mahali/ugenini fuata taratibu za huko(ugenini). Ili kufanikiwa kwa hilo, ukifika sehemu husika dadisi namna watu wanavyoishi na wewe uige hiyo namna hadi pale utakapoondoka ukaishi kwa namna yako huko kwingine(kwako)
Upo sawa sana mh mjumbe, siunajua ngariba haogopi kumwagikiwa na mkojo...😜😜
 
Upo sawa sana mh mjumbe, siunajua ngariba haogopi kumwagikiwa na mkojo...[emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

So sad, akina junior wa siku hizi hawatajua mikasa ya kwenda kwa ngariba kama sisi baba zao. Dunia inabadilika sana ndio maana mti anaenda kuishi ugenini na life staili yake, mwishowe maugomvi
 
Unakuta mgeni amekuja alafu ikifika jioni anatoka kwenda kulewa na anarudi saa nane za usiku, yaani baba mwenye nyumba ndipo aamke kwenda kumfunguli geti/mlango na asubuhi anaamka saa nne kisha anaulizia kama chai ishapikwa...😂😂
Dah hapa lazima mambo yavurugike
 
Maranyingi shida huanzia pale mgeni anapotaka kuishi kwa wenyeji kwa kufuata taratibu zake yeye. Yaani mwenyeji anataka aishi kwenye familia ya watu wengine kama anavyotaka yeye ama kwa wenyeji wafuate utaratibu wa mgeni...teh[emoji23]
Hapa lazima mgeni anune na akawatangazie ubaya!!!
 
Watoto hawaoni paw patrol......

Kusnzia asuhuhi mpaka saa sita usiku mgeni kamiliki remoti.....
Yaani unakutwa bwana shemeji/kaka wa mke, amekaa sebuleni tena yupo kifua wazi na chini amefaa kinyasa alafu ameshikilia na rimoti...[emoji12][emoji12]
Hapo ndipo ugomvi huanza na watoto kumchukia uncle kwa kujimilikisha tv...[emoji28][emoji28]
 
Unakuta mgeni amekuja alafu ikifika jioni anatoka kwenda kulewa na anarudi saa nane za usiku, yaani baba mwenye nyumba ndipo aamke kwenda kumfunguli geti/mlango na asubuhi anaamka saa nne kisha anaulizia kama chai ishapikwa...[emoji23][emoji23]
Huyu atalala nje.

Yaani nitajifanya sijamsikia
Salama yake akajiunge na sungu sungu!!!!
 
Katika kuhusiana baina ya pandd mbili kuna hii sheria ya 3days, 3weeks, 3month na 3 years .....
 
Maranyingi shida huanzia pale mgeni anapotaka kuishi kwa wenyeji kwa kufuata taratibu zake yeye. Yaani mwenyeji anataka aishi kwenye familia ya watu wengine kama anavyotaka yeye ama kwa wenyeji wafuate utaratibu wa mgeni...teh😂
When in Rome, do as the Romans do.

Wengi hawaielewi hii kauli.
 
Katika kuhusiana baina ya pandd mbili kuna hii sheria ya 3days, 3weeks, 3month na 3 years .....
😂😂 ndiyo maana huwa sipendi kwenda kwa watu, na nikienda mimi ni mpole balaa
 
Back
Top Bottom