JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Napita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CHADEMA. Nini shida?.
Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida?
Ni chama ana watia nia wenyewe?.
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu.
Naombeni ufafanuzi tafadhari.
Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida?
Ni chama ana watia nia wenyewe?.
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu.
Naombeni ufafanuzi tafadhari.