Duh...!.Naamini pia kwamba Membe akitia nia CDM kinaweza kikapata nguvu.
Nguvu iliyopo hivi sasa cdm, inawafanya matumbo ya kuhara yawaumeDuh...!.
P
Napita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CDM. Nini shida?.
Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida?
Ni chama ana watia nia wenyewe?.
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CDM kinaweza kikapata nguvu.
Naombeni ufafanuzi tafadhari.
Upepo huu utatulizwa na 'YESU' kama alivyotuliza ile mashua wkt ikipigwa na dhoruba kali.CDM tatizo lao wanashindwa kusoma upepo ulivyovuma jana na leo.
Unahangaika sana mkuu, huyo Yesu nenda ukawe unamjadili jukwaa la diniUpepo huu utatulizwa na 'YESU' kama alivyotuliza ile mashua wkt ikipigwa na dhoruba kali.
Ni kweli mkuu,maisha bila 'Yesu' yatawezekana kweli?Unahangaika sana mkuu, huyo Yesu nenda ukawe unamjadili jukwaa la dini
Ni kweli, Unajua shida ni kwamba huwezi waambia wananchi utajega reli ama barabara. Huwezi waambia utajenga vituo vya afya.CDM tatizo lao wanashindwa kusoma upepo ulivyovuma jana na leo.
This time adabu mtaipata...ushindi wa wizi haupo!!Napita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CHADEMA. Nini shida?.
Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida?
Ni chama ana watia nia wenyewe?.
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu.
Naombeni ufafanuzi tafadhari.
Wazee wa boma huwa hawarudii kauli.Unauhakika gani ndugu?
Hii bongo kweli unaitabilia haya yote?
Napita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CHADEMA. Nini shida?.
Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida?
Ni chama ana watia nia wenyewe?.
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu.
Naombeni ufafanuzi tafadhari.
UVCCM waapa kumlinda Mwenyekiti na Rais wa JMTNapita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CHADEMA. Nini shida?.
Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida?
Ni chama ana watia nia wenyewe?.
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu.
Naombeni ufafanuzi tafadhari.