LGE2024 Wagombea 20 wa CHADEMA Kata ya Mwaya waswekwa Gerezani kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji walipoenda kudai haki baada ya kuenguliwa

LGE2024 Wagombea 20 wa CHADEMA Kata ya Mwaya waswekwa Gerezani kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji walipoenda kudai haki baada ya kuenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kwa mujibu wa Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA), Twaha Mwaipaya, amesema, Wagombea 20 wa CHADEMA katika Kata ya Mwaya, Jimbo la Kilombero, wapo magereza baada ya majina yao kuenguliwa bila rufaa wala pingamizi tarehe 18 Novemba. Viongozi na wanachama hao, walipoenda ofisi ya mtendaji kudai majina hayo, walielezwa kuwa mtendaji wa kata, Acrey Mhenga, ndiye aliyefanya maamuzi hayo.

Baada ya kutokea mzozo, viongozi na wanachama walikamatwa, kupigwa, na kufunguliwa kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji. Mpaka sasa, wanachama hao wapo magereza, huku wafuasi wao wakiahidi kuendelea kuwaunga mkono.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

1732274880843.png
 
Wanafata ushauri wa Lissu? Kila mtu atakula alikopeleka mboga!
 
Kwa mujibu wa Twaha Mwaipaya, Wagombea 20 wa CHADEMA katika Kata ya Mwaya, Jimbo la Kilombero, wapo magereza baada ya majina yao kuenguliwa bila rufaa wala pingamizi tarehe 18 Novemba. Viongozi na wanachama hao, walipoenda ofisi ya mtendaji kudai majina hayo, walielezwa kuwa mtendaji wa kata, Acrey Mhenga, ndiye aliyefanya maamuzi hayo.

Baada ya kutokea mzozo, viongozi na wanachama walikamatwa, kupigwa, na kufunguliwa kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji. Mpaka sasa, wanachama hao wapo magereza, huku wafuasi wao wakiahidi kuendelea kuwaunga mkono.
Aisee
 
Kwa mujibu wa Twaha Mwaipaya, Wagombea 20 wa CHADEMA katika Kata ya Mwaya, Jimbo la Kilombero, wapo magereza baada ya majina yao kuenguliwa bila rufaa wala pingamizi tarehe 18 Novemba. Viongozi na wanachama hao, walipoenda ofisi ya mtendaji kudai majina hayo, walielezwa kuwa mtendaji wa kata, Acrey Mhenga, ndiye aliyefanya maamuzi hayo.

Baada ya kutokea mzozo, viongozi na wanachama walikamatwa, kupigwa, na kufunguliwa kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji. Mpaka sasa, wanachama hao wapo magereza, huku wafuasi wao wakiahidi kuendelea kuwaunga mkono.
Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
 
Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
Unonaje ukiwasaidia kuchukua hatua? Au nawewe ni keyboard worriors kama wengine.
 
Kwa mujibu wa Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA), Twaha Mwaipaya, amesema, Wagombea 20 wa CHADEMA katika Kata ya Mwaya, Jimbo la Kilombero, wapo magereza baada ya majina yao kuenguliwa bila rufaa wala pingamizi tarehe 18 Novemba. Viongozi na wanachama hao, walipoenda ofisi ya mtendaji kudai majina hayo, walielezwa kuwa mtendaji wa kata, Acrey Mhenga, ndiye aliyefanya maamuzi hayo.

Baada ya kutokea mzozo, viongozi na wanachama walikamatwa, kupigwa, na kufunguliwa kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji. Mpaka sasa, wanachama hao wapo magereza, huku wafuasi wao wakiahidi kuendelea kuwaunga mkono.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Watasota humo mpk uchaguzi upite😄
 
Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
Hawa jamaa miaka yote ni malalamiko tu.
 
Kwa mujibu wa Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA), Twaha Mwaipaya, amesema, Wagombea 20 wa CHADEMA katika Kata ya Mwaya, Jimbo la Kilombero, wapo magereza baada ya majina yao kuenguliwa bila rufaa wala pingamizi tarehe 18 Novemba. Viongozi na wanachama hao, walipoenda ofisi ya mtendaji kudai majina hayo, walielezwa kuwa mtendaji wa kata, Acrey Mhenga, ndiye aliyefanya maamuzi hayo.

Baada ya kutokea mzozo, viongozi na wanachama walikamatwa, kupigwa, na kufunguliwa kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji. Mpaka sasa, wanachama hao wapo magereza, huku wafuasi wao wakiahidi kuendelea kuwaunga mkono.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

wenzio wanasota jela wewe maneno matupu tu ndiyo mkome kutishia watu hapo walikuwa wanajifanya wanajuwa kila kiu wacha wahenye huko
 
Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
wao wanasubiria waje waambiwe chadema njoni mtawale hovyooooooo mtahenya mwaka huu
 
Write your reply...tambuwa kuwa penye ridhiki pana fitina dawa yake ni kukomaa hadi kieleweke na siyo kukata tamaa.
 
Back
Top Bottom