mimi si mkazi wa arusha kwahiyo sijui anayekubalika zaidi lakini jama niliona yule jamaa wa TLP [bonge ya mtu] kama mwenye vision ya juu zaidi na strategic thinking... i know this is unpopular here lakini ndio facts zangu
university college london phd (planning studies-dev. Planning unit) 1992 1997
brighton college of technology-uk certificate in effective management skills 1995 1996
university of sussex m.a (development studies) 1990 1991
university of dar es salaam b.a (public admin. & international relations) 1985 1988
View attachment 13415
mimi naona huyu mama batilda hakuwa amejipanga ila kutokana na uhusiano mbaya kati ya lowassa na mrema ambaye ni mbunge aliyepita basi lowassa akaamua kumpendekeza nyumba ndogo yake ambaye ni huyu mgombea wa ccm jimbo la arusha mjini.
Mambo ya mafisadi ya richimondi kutaka hawara yake naye aingie kwenye siasa maanake nini kama si mchezo wa kuchezea akili za watanzania na hususani wana arusha. Hebu kura zetu tumpe lema kwani huyu kijana yuko serious na maendeleo
Batilda nyumba ndogo ya Lowassa huyooo! !!!! na amezaa naye mtoto. Kumpa ubunge ni aibu tuuupu jamani tuiepuke hii aibu kwa kumpa mtu aliyeko serious. Lowassa ndiye mfadhili mkubwa wa Batilda tangu alipokuwa anafanya kazi ofisi ya Waziri Mkuu. Mchagueni Lema kwani Batilda anasukumwa tu na hana lengo lolote la kuleta maendeleo Arusha. Pili Batilda ana ukabila na amesikika akisema yeye ni mzawa kwa maana kwamba wasimpe kura mtu wa kuja kwa maana ya wachagga na makabila mengine. huyu mama ni mbaguzi mkubwa wa makabila na ndiyo sera kuu ya Lowassa. Yeye Lowassa angepewa ruhusu angewapukutisha wachagga kama Hitler alivyowapukutisha Wayahudi. Huyu amekwisha mwambukiza batilda sera zake chafu alizoanzisha Monduli na sasa Arusha mjini.
mimi si mkazi wa arusha kwahiyo sijui anayekubalika zaidi lakini jama niliona yule jamaa wa TLP [bonge ya mtu] kama mwenye vision ya juu zaidi na strategic thinking... i know this is unpopular here lakini ndio facts zangu
yes hata mimi nilimpenda sana yule wa TLP Bwana Max Lyimo kiukweli ingawa sikai Arusha lakini kura yangu angepata, alikuwa anaelezea vizuri challenges za Arusha na namna ya utatuzi wa mambo mbalimbali.
Lema wa CHADEMA alikuwa anapoteza muda mwingi kujisifu kuwa keshapita anasubili kuapishwa na pia kudharau wezake. mimi sikumpenda kabisa
University College London PhD (Planning Studies-Dev. Planning Unit) 1992 1997
Brighton College of Technology-UK Certificate in Effective Management Skills 1995 1996
University of Sussex M.A (Development Studies) 1990 1991
University of Dar es Salaam B.A (Public Admin. & International Relations) 1985 1988
View attachment 13415
wakuu kwani issue ya Kihiyo mmeisahau wako vihiyo wengi tuu hata wengine kidato cha nne walichapa mwendo....Tafakakuri
mimi si mkazi wa arusha kwahiyo sijui anayekubalika zaidi lakini jama niliona yule jamaa wa TLP [bonge ya mtu] kama mwenye vision ya juu zaidi na strategic thinking... i know this is unpopular here lakini ndio facts zangu
nilibahatika kutazama huu mdahalo, Yule jamaa wa Demokrasia makini kaniacha hoi. very very shallow!
CHADEMA-MBUNGE ARUSHA Mr. Lema) NA UBUNGO (Mr. Mnyika) WAPITA BILA KUPINGWA