Wagombea mmeambiwa mjishikilie baada ya mmoja kufumaniwa ugoni akiwa kwenye harakati za kampeni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wagombea wametahadharishwa kuzingatia maadili na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuharibu taswira yenu kama viongozi, baada ya mmoja wao kudaiwa kufumaniwa ugoni akiwa katika harakati za kampeni.

Your browser is not able to display this video.
 
Hawa watu ni Very stupid πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…