Wagombea na Wapambe wa wagombea chadema wamekuwa zaidi wakitupiana vijembe kwenye mitandao ya kijamii na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari!
Kwa mustakabali wa maendeleo ya chama CHADEMA ni busara wakatwambia ni nini watafanya badala ya maneno matupu.
Thabo mbeki aliwa hi kusema "don't tell us why you want be a leader , tell us the difference you will make"
Kwa mustakabali wa maendeleo ya chama CHADEMA ni busara wakatwambia ni nini watafanya badala ya maneno matupu.
Thabo mbeki aliwa hi kusema "don't tell us why you want be a leader , tell us the difference you will make"