Mlokole Mahiri
New Member
- Jun 7, 2020
- 3
- 22
Jimbo la Handeni Vijijini mkoani Tanga Hakimu amekataa kuwaapisha Wagombea Udiwani kupitia Chadema kwa madai ya kwamba Hakimu anaye husika kuwaapisha Wagombea hao hayupo.
Huku Handeni Mjini wamepandishiwa gharama za kula kiapo kutoka 5000 - 20000
Huku Handeni Mjini wamepandishiwa gharama za kula kiapo kutoka 5000 - 20000