BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
MATOKEO KENYA: MSAFARA WA NAIBU RAIS RUTO NA MKEWE KUELEKEA BOMAS MUDA HUU
Naibu Rais William Ruto na mkewe Rachael Ruto wameondoka nyumbani kwao Karen kuelekea eneo la Bomas ambapo Tume ya Uchaguzi, IEBC itatangazia Matokeo ya Urais.
Taarifa ya Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati imethibitisha kuwa Matokeo ya Urais yataanza kutangazwa leo Saa 9 Alasiri.
Tayari Mgombea wa Roots Party George Wajackoyah na David Mwaure wa Agano wamewasili katika ukumbi wa Bomas.
Naibu Rais William Ruto na mkewe Rachael Ruto wameondoka nyumbani kwao Karen kuelekea eneo la Bomas ambapo Tume ya Uchaguzi, IEBC itatangazia Matokeo ya Urais.
Taarifa ya Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati imethibitisha kuwa Matokeo ya Urais yataanza kutangazwa leo Saa 9 Alasiri.
Tayari Mgombea wa Roots Party George Wajackoyah na David Mwaure wa Agano wamewasili katika ukumbi wa Bomas.