LGE2024 Wagombea wa CHADEMA waenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kuwapatia kipato halali

LGE2024 Wagombea wa CHADEMA waenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kuwapatia kipato halali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Akizngumza na wanahabari leo, Ijumaa Novemba 08, 2024 makuu ya Mikocheni ya CHADEMA, John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA ameeleza kushangazwa baada ya Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kumpatia kipato halali.

Soma, Pia: John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, adai fomu za wagomea wao zimechezewa

"Kibamba hapa Dar es Salaam wapo wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) walioenguliwa sababu eti kwamba hana kazi ya kumpatia kipato halali, ni kwa sababu wameandika ni wajasiriamali sasa unajiuliza sijui walitaka watu wetu wadanganye kuwa ni wakulima ili mwisho wa siku waseme Dar es Salaam hakuna mashamba"
Soma: Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 
Akizngumza na wanahabari leo, Ijumaa Novemba 08, 2024 makuu ya Mikocheni ya CHADEMA, John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA ameeleza kushangazwa baada ya Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kumpatia kipato halali.

Soma, Pia: John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, adai fomu za wagomea wao zimechezewa

"Kibamba hapa Dar es Salaam wapo wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) walioenguliwa sababu eti kwamba hana kazi ya kumpatia kipato halali, ni kwa sababu wameandika ni wajasiriamali sasa unajiuliza sijui walitaka watu wetu wadanganye kuwa ni wakulima ili mwisho wa siku waseme Dar es Salaam hakuna mashamba"
CCM ni chama cha kishamba sana!
 
CCM ni chama cha kishamba sana!
mjasiliamali ni kazi gani? iko general sana lakini hapo ukiangalia katika huo ujasiliamali kuna kazi yenye jina anayofanya kama muuza madafu mpiga tofali sasa kwanini asiandike hivyo huo ni uhuni wakutaka kuonewa huruma chadema ni wahuni sana
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA ameeleza kushangazwa baada ya Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kumpatia kipato halali
Kwahiyo wanakula, wanalala na kuvishwa nguo za polisi
 
mjasiliamali ni kazi gani? iko general sana lakini hapo ukiangalia katika huo ujasiliamali kuna kazi yenye jina anayofanya kama muuza madafu mpiga tofali sasa kwanini asiandike hivyo huo ni uhuni wakutaka kuonewa huruma chadema ni wahuni sana
Acha ujinga! wako wengi sana! kesho atabeba tofatli kesha atauza madafu, kesho kutwa mjenzi, inayofuata anauza gengeni!
 
mjasiliamali ni kazi gani? iko general sana lakini hapo ukiangalia katika huo ujasiliamali kuna kazi yenye jina anayofanya kama muuza madafu mpiga tofali sasa kwanini asiandike hivyo huo ni uhuni wakutaka kuonewa huruma chadema ni wahuni sana
Unatia aibu sana! yaani hujui maana ya Mjasiriamali?
 
Haki haiji ila kwa ncha ya upanga. Mnazidi kubembeleza sana. Kama mtaendelea hivi itawachukua miaka 500 kuleta mabadiliko ya kweli. Huu sasa ni ujinga kuamini kuwa taratibu zilezile zitaleta mabadiliko ya kweli.
 
Wengi ambao hawana ajira rasmi wanategemea hiyo kazi ili waishi, hata kama shamba sio lako, ataidhinisha uliuze ili apate fedha. Utapeli mwingi
 
mjasiliamali ni kazi gani? iko general sana lakini hapo ukiangalia katika huo ujasiliamali kuna kazi yenye jina anayofanya kama muuza madafu mpiga tofali sasa kwanini asiandike hivyo huo ni uhuni wakutaka kuonewa huruma chadema ni wahuni sana
Uchafu kama huu tunaweka humu 🚮🚮🚮
 
Akizngumza na wanahabari leo, Ijumaa Novemba 08, 2024 makuu ya Mikocheni ya CHADEMA, John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA ameeleza kushangazwa baada ya Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kumpatia kipato halali.

Soma, Pia: John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, adai fomu za wagomea wao zimechezewa

"Kibamba hapa Dar es Salaam wapo wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) walioenguliwa sababu eti kwamba hana kazi ya kumpatia kipato halali, ni kwa sababu wameandika ni wajasiriamali sasa unajiuliza sijui walitaka watu wetu wadanganye kuwa ni wakulima ili mwisho wa siku waseme Dar es Salaam hakuna mashamba"
Soma: Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kazi zote zimehothiwa na kikundi kidogo cha watu na wengine wana miaka 80 bado wapo kwenye Ofisi za umma halafu hata anaegombea unamuengua kisa hana kazi ya kipato, sijui hili linatokea wapi kwa kweli.
 
Akizngumza na wanahabari leo, Ijumaa Novemba 08, 2024 makuu ya Mikocheni ya CHADEMA, John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA ameeleza kushangazwa baada ya Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kumpatia kipato halali.

Soma, Pia: John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, adai fomu za wagomea wao zimechezewa

"Kibamba hapa Dar es Salaam wapo wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) walioenguliwa sababu eti kwamba hana kazi ya kumpatia kipato halali, ni kwa sababu wameandika ni wajasiriamali sasa unajiuliza sijui walitaka watu wetu wadanganye kuwa ni wakulima ili mwisho wa siku waseme Dar es Salaam hakuna mashamba"
Soma: Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mtu mzima anakula na kulala kwake unasemaje hana kazi ya kumpatia kipato?.
 
mjasiliamali ni kazi gani? iko general sana lakini hapo ukiangalia katika huo ujasiliamali kuna kazi yenye jina anayofanya kama muuza madafu mpiga tofali sasa kwanini asiandike hivyo huo ni uhuni wakutaka kuonewa huruma chadema ni wahuni sana
Mbona vitamburisho vya Magufuri viliandikwa wajasiliamali
 
mjasiliamali ni kazi gani? iko general sana lakini hapo ukiangalia katika huo ujasiliamali kuna kazi yenye jina anayofanya kama muuza madafu mpiga tofali sasa kwanini asiandike hivyo huo ni uhuni wakutaka kuonewa huruma chadema ni wahuni sana
Kuandika mfanyabiashara ni sawa?
 
Wananchi wanaonyamazia mambo haya yanayoendelea ndio tatizo kubwa, wangeyakataa wanaoyafanya wangeacha kuharibu na kufuata sheria inavyotaka iwe.
 
Akizngumza na wanahabari leo, Ijumaa Novemba 08, 2024 makuu ya Mikocheni ya CHADEMA, John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA ameeleza kushangazwa baada ya Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kumpatia kipato halali.

Soma, Pia: John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, adai fomu za wagomea wao zimechezewa

"Kibamba hapa Dar es Salaam wapo wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) walioenguliwa sababu eti kwamba hana kazi ya kumpatia kipato halali, ni kwa sababu wameandika ni wajasiriamali sasa unajiuliza sijui walitaka watu wetu wadanganye kuwa ni wakulima ili mwisho wa siku waseme Dar es Salaam hakuna mashamba"
Soma: Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mimi nawashangaa CHADEMA bado wanahangaika na hizi chaguzi za CCM .
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 3
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Back
Top Bottom