Mwaka 2015 tulikuwa na uchaguzi mkuu wa viongozi wakisiasa.
Miongoni mwa wanasiasa waliogombea nafasi ya urais walinenwa kuwa ni wagonjwa hadi wakachafuana kwa matusi kuwa wanajichafua wakiwa majukwani.
Binafsi niliona nisiasa zisizo na heshima pia ushahidi wowote. Ikiwa mwanafunzi hujaza form ya medical results anapojiunga na shule/chuo. Itakuwa heshima pia kwa wagombea wetu mahela apokee form hiyo ikiwa imepitishwa na chama cha Mgombea.
Kwani wengine walionekana wakila PUSHUP kuonesha UIMARA wakimwili,kiakili na kimajukumu.
Nilitafakari yaliyojiri,
Natafakari yaliyotokea,
Nitatafakari kama hatutakuwa na kipengele cha MEDICAL FORM kwa wagombea ngazi za juu.
Nini maoni yako
Miongoni mwa wanasiasa waliogombea nafasi ya urais walinenwa kuwa ni wagonjwa hadi wakachafuana kwa matusi kuwa wanajichafua wakiwa majukwani.
Binafsi niliona nisiasa zisizo na heshima pia ushahidi wowote. Ikiwa mwanafunzi hujaza form ya medical results anapojiunga na shule/chuo. Itakuwa heshima pia kwa wagombea wetu mahela apokee form hiyo ikiwa imepitishwa na chama cha Mgombea.
Kwani wengine walionekana wakila PUSHUP kuonesha UIMARA wakimwili,kiakili na kimajukumu.
Nilitafakari yaliyojiri,
Natafakari yaliyotokea,
Nitatafakari kama hatutakuwa na kipengele cha MEDICAL FORM kwa wagombea ngazi za juu.
Nini maoni yako