Uchaguzi 2020 Wagombea wa Urais na Makamu wa Rais kutoka SAU waidhinishwa na NEC

Uchaguzi 2020 Wagombea wa Urais na Makamu wa Rais kutoka SAU waidhinishwa na NEC

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua Muttamwega Mgaywa kuwa Mgombea wa Urais na Satia Musa kuwa Mgombea Mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU)

NEC imeidhinisha wagombea kutoka vyama vitatu vya siasa ambavyo ni CCM, NRA, ADA-TADEA hadi sasa
 
Vinaidhinishwa vyama visivyokuwa hata balozi😂😂, ndio mkilashindane navyo?? CCM wepesiiiii Kama manyoya.
 
Back
Top Bottom