beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua Muttamwega Mgaywa kuwa Mgombea wa Urais na Satia Musa kuwa Mgombea Mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU)
NEC imeidhinisha wagombea kutoka vyama vitatu vya siasa ambavyo ni CCM, NRA, ADA-TADEA hadi sasa
NEC imeidhinisha wagombea kutoka vyama vitatu vya siasa ambavyo ni CCM, NRA, ADA-TADEA hadi sasa