Wagonjwa 54 wa Corona wamepona, maambukizi mapya 123 na vifo vitatu vyatangazwa

Wagonjwa 54 wa Corona wamepona, maambukizi mapya 123 na vifo vitatu vyatangazwa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Wagonjwa 123 wa COVID-19 wameongezeka nchini Kenya ina nchi hiyo imerekodi jumla ya visa 2,216 baada ya kupima sampuli 2,112

Visa hivyo ni kutoka Nairobi (44), Mombasa (34), Busia (20), Uasin Gishu (12), Kajiado (3), Kiambu (3), Nyeri (3), Kilifi (2), Garissa (1) na Laikipia (1). Umri wa wagonjwa ni kati ya miaka 8-72, 90 ni Wanaume na 33 ni Wanawake

Wengine watatu wamepoteza maisha na kufanya idadi ya vifo kuwa 74. Miongoni mwa vifo vilivyotangazwa leo alikuwemo mtoto wa kiume mwenye miaka 12 aliyethibitishwa kuwa na COVID19 akiwa ameshafariki

Aidha, wagonjwa waliopona wamefikia 553 baada ya wengine 54 kupona. Hii ni idadi kubwa zaidi kurekodiwa kwa ndani ya saa 24 nchini humo

=====

Kenya on Wednesday recorded 123 Covid-19 cases, bringing the total to 2,216.

This is out of 2,112 samples tested in 24 hours.

A total of 85,058 tests have been done to date.

The country recorded the highest number of discharges on Wednesday at 54.

This has raised the total recoveries to 553.

However, another three males have died, raising the death toll to 74.

The youngest was a 12-year-old boy who was discovered to be positive posthumously.

The new cases are spread as follows: Nairobi (44 ), Mombasa (34), Busia (20), Uasin Gishu (12), Kiambu, Kajiado and Nyeri (3), Kilifi (2), Garissa (1) and Laikipia (1).

The distribution of the cases in the sub-counties is as follows; the 44 cases in Nairobi are from; Kibra (10), Westlands (9), Dagoretti North (4) Embakasi West (4), Embakasi South (3), Langata (3), Makadara (3), Mathare (3), Kasarani (3), Ruaraka and Kamukunji each have one case.

In Mombasa, the 34 cases are from Mvita (11), Jomvu, (8), Changamwe (5), Likoni (4), Kisauni and Nyali have (3) cases each.

The twenty 20 cases in Busia are all of truck drivers at the Malaba border, while the 12 cases in Uasin Gishu are also of truck drivers at Turbo.

Similarly, the three cases in Kajiado are all of truck drivers. In Nyeri, the three cases are from Nyeri Central, (2) and Nyeri South (1), in Garissa the one case is from Garissa town and in Laikipia, the one case is from Laikipia West.

Ninety of the cases are male and 33 are female.

The youngest is eight years old, while the oldest is 84.

Aman warned Kenyans against using face masks as 'chin guards' and wearing them below the nose.

A number of Kenyans pull down the masks down to the chin.

"It is disturbing that a few of our people have reverted to business as usual. A casual walk down the streets of Nairobi Central Business District reveals that some of our people are not wearing masks, or are wearing them improperly. This is unacceptable," Aman said.

Mobile labs on the Namanga border and Mai Mahiu have been operationalised to serve truck drivers, Aman said.

Source: The Star
 
Sahvi wanasema kuna ufinyu wa vifaa wanapunguza mass testing.
My take, Ni bora wakaachana nayo kabisa maana ni kupoteza muda. Haisadii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Huwezi kuachana na kupima, hilo ni sharti la mkopo!! Pesa ya mabeberu lazima iwatokee puani, bado mtailipa na riba juu!!!
 
Back
Top Bottom