Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Wizara ya Afya imetangaza Wagonjwa wapya 07 wa #COVID19 baada ya sampuli 2,532 kupimwa jana. Wagonjwa wote ni Waganda na jumla ya maambukizi imefikia 686
Wagonjwa 3 wamepatika katika sampuli 1,310 zilizopimwa mipakani na Wagonjwa 4 wamepatikana katika sampuli 1,164 zilizopimwa kutoka kwa watu walionesha dalili au waliokutana na Wagonjwa. Sampuli 58 za Wafanyakazi wa afya zimeonesha hazina maambukizi
Waliopatikana mipakani wamepatikana katika mipaka ya Malaba (2) na Mutukula (1) huku wanne waliobaki wametokea Wilaya ya Tororo (2), Wilaya ya Kyotera (1) na Wilaya ya Gulu (1)
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki imetangaza jumla ya Wagonjwa 161 waliopona na hakuna kifo hadi sasa
Aidha, Wizara imetangaza Madereva 18 waliozuiliwa kuingia Uganda na kurudishwa nchini mwao baada ya kukutwa na COVID19. Madereva hao wanatoka Kenya (8), Tanzania (4), Congo (2), Sudan Kusini (2) na Eritrea (2)
Wagonjwa 3 wamepatika katika sampuli 1,310 zilizopimwa mipakani na Wagonjwa 4 wamepatikana katika sampuli 1,164 zilizopimwa kutoka kwa watu walionesha dalili au waliokutana na Wagonjwa. Sampuli 58 za Wafanyakazi wa afya zimeonesha hazina maambukizi
Waliopatikana mipakani wamepatikana katika mipaka ya Malaba (2) na Mutukula (1) huku wanne waliobaki wametokea Wilaya ya Tororo (2), Wilaya ya Kyotera (1) na Wilaya ya Gulu (1)
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki imetangaza jumla ya Wagonjwa 161 waliopona na hakuna kifo hadi sasa
Aidha, Wizara imetangaza Madereva 18 waliozuiliwa kuingia Uganda na kurudishwa nchini mwao baada ya kukutwa na COVID19. Madereva hao wanatoka Kenya (8), Tanzania (4), Congo (2), Sudan Kusini (2) na Eritrea (2)