Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Wizara ya Afya imethibitisha Wagonjwa wapya 8 baada ya sampuli 2,423 kupimwa Juni 09, 2020 na kufanya jumla ya Visa nchini humo kufikia 665. Wagonjwa wote wapya ni Waganda
Kati ya Wagonjwa, wanne ni kutoka katika sampuli 1,388 zilizopimwa mipakani na wanne wengine ni kutoka katika sampuli 1,035 zilizopimwa kutoka kwa watu walionesha dalili au waliokutana na Wagonjwa
Hadi kufikia leo Juni 10, Uganda imeripoti jumla ya Wagonjwa 119 waliopona na hakuna kifo hata kimoja cha #COVID19
Aidha, nchi hiyo imewarudisha kwao madereva wa malori 31 waliokutwa na #CoronaVirus. Madereva hao wanatoka Kenya (16), Tanzania (8), Eritrea (5), Burundi (1) na Sudan Kusini (1)
Kati ya Wagonjwa, wanne ni kutoka katika sampuli 1,388 zilizopimwa mipakani na wanne wengine ni kutoka katika sampuli 1,035 zilizopimwa kutoka kwa watu walionesha dalili au waliokutana na Wagonjwa
Hadi kufikia leo Juni 10, Uganda imeripoti jumla ya Wagonjwa 119 waliopona na hakuna kifo hata kimoja cha #COVID19
Aidha, nchi hiyo imewarudisha kwao madereva wa malori 31 waliokutwa na #CoronaVirus. Madereva hao wanatoka Kenya (16), Tanzania (8), Eritrea (5), Burundi (1) na Sudan Kusini (1)