fasi dwasi
R I P
- Sep 23, 2018
- 105
- 108
Kuna kesi ipo mtaani:
Kuna wagonjwa (mke + mume) wa HIV ambao walishapima tangu miaka 15 iliyopita baada ya kuumwa mara kwa mara magonjwa kama vile fungus, typhoid na maradhi mengine
Baada ya kufahamu kwmba wapo HIV+ hawakuanza kutumia ARVs isipokuwa walifuatilia njia mbadala za kupandisha kinga yao ya mwili esp katika swala zima la misosi na lishe bora, mpaka hivi sasa naongea hapa wanadunda, afya njema saaana kupita kiasi, kuna wagonjwa ambao walitumiaga ARVs na sasa hawapo ila hii couple inadunda 2
SWALI:
Tumeambiwa kwamba UKIMWI ni ukosefu wa kinga mwilini, means mtu anapokuwa na king a hafifu hii hupelekea magonjwa nyemelezi kufika kwa mtu huyo bila kuzuiliwa na kinga ya ndani ya mwili
Pia tumeambia ARVs ndio kitu pekee ambacho mtu mwenye UKIMWI anapaswa kutumia ili kurudisha kinga yake ya mwili ktk mstari na kumfanya mgonjwa aishi kwa matumaini
Je, ni kweli kwmba ARVs ndo kjtu pekee ambacho kinachoweza kupandisha kinga ya mwili ya binadamu?
Vipi kuhusu matumizi ya vile vyakula ambavyo vinaaminika vina uwezo wa kupandisha kinga ya mwili kwa binadamu kwa haraka sana?
Kwanini madaktari huwa hawatoi ushauri wa kutumia hivi vyakula kwa wagonjwa badala ya kumpa hv ARVs tu? zinaangamiza watu bhna hz dawa
Labda wataalamu waje wanielimishe ndani ya ARVs kuna kitu gan ambacho mgonjwa atakikosa endapo mgonjwa huyo ataamua kudeal vyema na kinga yake ya mwili kupitia vyakula tu?
Kuna wagonjwa (mke + mume) wa HIV ambao walishapima tangu miaka 15 iliyopita baada ya kuumwa mara kwa mara magonjwa kama vile fungus, typhoid na maradhi mengine
Baada ya kufahamu kwmba wapo HIV+ hawakuanza kutumia ARVs isipokuwa walifuatilia njia mbadala za kupandisha kinga yao ya mwili esp katika swala zima la misosi na lishe bora, mpaka hivi sasa naongea hapa wanadunda, afya njema saaana kupita kiasi, kuna wagonjwa ambao walitumiaga ARVs na sasa hawapo ila hii couple inadunda 2
SWALI:
Tumeambiwa kwamba UKIMWI ni ukosefu wa kinga mwilini, means mtu anapokuwa na king a hafifu hii hupelekea magonjwa nyemelezi kufika kwa mtu huyo bila kuzuiliwa na kinga ya ndani ya mwili
Pia tumeambia ARVs ndio kitu pekee ambacho mtu mwenye UKIMWI anapaswa kutumia ili kurudisha kinga yake ya mwili ktk mstari na kumfanya mgonjwa aishi kwa matumaini
Je, ni kweli kwmba ARVs ndo kjtu pekee ambacho kinachoweza kupandisha kinga ya mwili ya binadamu?
Vipi kuhusu matumizi ya vile vyakula ambavyo vinaaminika vina uwezo wa kupandisha kinga ya mwili kwa binadamu kwa haraka sana?
Kwanini madaktari huwa hawatoi ushauri wa kutumia hivi vyakula kwa wagonjwa badala ya kumpa hv ARVs tu? zinaangamiza watu bhna hz dawa
Labda wataalamu waje wanielimishe ndani ya ARVs kuna kitu gan ambacho mgonjwa atakikosa endapo mgonjwa huyo ataamua kudeal vyema na kinga yake ya mwili kupitia vyakula tu?