beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Wizara ya Afya imethibitisha ongezeko la visa vipya 9 vya COVID19 na jumla ya maambukizi nchini humo hivi sasa ni 741
Wagonjwa wapya wote ni Waganda, 4 ni madereva wa malori waliotokea Kenya (2) na Sudani Kusini (2) huku 5 wakiwa watu waliokuwa karibu na wanaougua ugonjwa huo
Mbali na hayo, Uganda imewarudisha nchini kwao madereva 31 kutoka Kenya-24, Tanzania-6 Burundi-1 baada ya kukutwa na Corona
Wagonjwa 442 wamepona na hakuna kifo kilichorekodiwa mpaka sasa
====
Wagonjwa wapya wote ni Waganda, 4 ni madereva wa malori waliotokea Kenya (2) na Sudani Kusini (2) huku 5 wakiwa watu waliokuwa karibu na wanaougua ugonjwa huo
Mbali na hayo, Uganda imewarudisha nchini kwao madereva 31 kutoka Kenya-24, Tanzania-6 Burundi-1 baada ya kukutwa na Corona
Wagonjwa 442 wamepona na hakuna kifo kilichorekodiwa mpaka sasa
====