Wagosi wa Kaya Vs John Walker & Ras lion(watukutu)

B.4really

Senior Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
199
Reaction score
89
Namiss ladha nzuri ya aina ya muziki na mashairi yanayoakisi maisha ya mtanzania kutoka kwa makundi haya mawili ya bongofleva,sijui ni nini kimewasibu p'se rudini kwny game kwan kuna vitu fans wenu tunavihitaji chonde chonde..
Nikikumbka nyimbo hizi nahisi kurudi nilikotoka:-

Wagosi wa kaya:-tanga kunani,wauguzi,tajiri na maskini,pole,trafiki huyoo,kibaka kaokoka,taxi driver e.t.c

Joni woka & Ras lion(watukutu):-bitozi,umaskini,yallaah,sophy,wacha nimuoe,nieleze e.t.c
hii ndio ladha ya bongo inayotakiwa, sharobaro's jaribuni kuwasikilza hawa kaka zenu jinsi walivyokuwa wanaumiza vichwa..
 
Nilikuwa naiskilza leo ila imekaa kitafsida sana na comedy but sio nzuri kwa watoto wa kizazi hiki cha leo kwan wana fikra za karibu sana mkuu.
 
Czani kama itapewa airtime cz hawa madj bila kuwapoza hawakupi airtime ndo maana roma anawachana kama anasema kama hawapigi bas bajaji za mwenge watapiga tu
 
kitu walichokuwa wanakifanya Wagosi ndo anachokifanya Roma sahivi
 
kitu walichokuwa wanakifanya Wagosi ndo anachokifanya Roma sahivi

kwa hiyo Roma amepitwa na wakati?...hata mi nilikuwa nafikiria hivyo hivyo!..anaandika halafu anasoma kama gazeti halafu anaitwa mkali
 
Daah kweli hakuna marefu yasiyo na mwisho. Hawa jamaa sijui wakowapi sikuiz...
By theway Wagosi walishavunjika kitambo Mkoloni na Dr John wakawa wanajitegemea kila mtu.
 
wagosi wamerudi tayari na wana ngoma mbili mtaani moja inaitwa BAO na ina video tayari hata youtube ipo...
 
kwa hiyo Roma amepitwa na wakati?...hata mi nilikuwa nafikiria hivyo hivyo!..anaandika halafu anasoma kama gazeti halafu anaitwa mkali

Haha sijui kama kapitwa na wakati au la but ukichunguza anachokifanya Roma(ukosoaji) ndicho kilichowahi kufanywa na Wagosi,utofauti ni m1 tu Roma anaunganisha mambo meeengi kwenye wimbo mmoja kama watu wanavyomsemaga(anaunganisha vichwa vya habari vya magazeti),wakati Wagosi wa Kaya walikuwa wanastick kwenye kitu kimoja na wanakidadavua in deep,mfano nyimbo kama Tanga Kunani,Traffic,Wauguzi,etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…