Waha na kusamehe madeni kwa wake za watu

Waha na kusamehe madeni kwa wake za watu

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Habarini za jioni waumini

Mtaani kuna wale jamaa wanakopesha bidhaa hasa kwa wanawake au wake za watu, hawatumii nguvu kudai na wakiambiwa hela hakuna wanaelewa.

Niliona mmoja akiombwa kusamehe deni lililo baki na mke wa mtu, akasema tutaongea vizuri kwenye simu, tafsiri nyepesi ni kwamba alihofia watu kusikia maongezi yao.

Tahadhari... Kama mkeo anadaiwa na Muha muulize na umpe hela amalize deni, la sivyo akiomba kusamehewa na yeye ataombwa jambo.

Ni hayo tu....
 
Wewe mwanaume unakuwa wapi mpaka mke wako anaenda kukopa??
 
Mbagala walifilisiwa sana na hao wanawake, ila sahv naona wanaongezeka tena, kuna muda walipungua maana walikuja kwa kasi na wakavamia kichwa kichwa wake za watu, wengi walifilisika labda sahv wamejifunza kitu
 
Mbagala walifilisiwa sana na hao wanawake, ila sahv naona wanaongezeka tena, kuna muda walipungua maana walikuja kwa kasi na wakavamia kichwa kichwa wake za watu, wengi walifilisika labda sahv wamejifunza kitu
Saivi bado wanazidi kusambaa kona zote, na wanawake wanawapenda sana na wakiwaona tu wanawapa misifa kibao ili tu wawasamehe madeni
 
Back
Top Bottom