real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Wahadhiri wa vyuo vikuu wamesitisha mgomo wao wa mwezi mmoja na wataanza kurudi kazini kuanzia Jumatatu
Wameita hatua yao hiyo kama muafaka baada ya kuona wanafunzi wanaathirika kwa kukosa masomo
Whadhiri hao, awali walikuwa wamesema watarudi kufundisha tu baada ya fedha kuwekwa kwenye akaunti zao za benki
====================================================
University dons on Saturday called off their month-long strike on signing a return to work formula with the Inter-Public Universities Council Consultative Forum (IPUCCF).
They described the move as a “compromise” taken after weighing their rights against those of the affected students.
The dons had stated that they would only call off the strike once a full payout had been deposited into their members’ bank accounts.
Source: Capital Fm
Wameita hatua yao hiyo kama muafaka baada ya kuona wanafunzi wanaathirika kwa kukosa masomo
Whadhiri hao, awali walikuwa wamesema watarudi kufundisha tu baada ya fedha kuwekwa kwenye akaunti zao za benki
====================================================
University dons on Saturday called off their month-long strike on signing a return to work formula with the Inter-Public Universities Council Consultative Forum (IPUCCF).
They described the move as a “compromise” taken after weighing their rights against those of the affected students.
The dons had stated that they would only call off the strike once a full payout had been deposited into their members’ bank accounts.
Source: Capital Fm