Wadau,taarifa confirmed toka Dodoma zinasema kwamba leo wahadhiri wamegoma tena baada ya kuambiwa kwamba mishahara watakayopokea mwezi huu haitakua na mabadiliko yeyote tofauti na walivyoahidiwa na Pinda....mwenye maelezo zaidi atuletee tafadhali...
Breaking news si lazima ziwe na reliable source. Nami pia nimezipata na source yangu ni mwanagu anaesoma pale. Nahisi hii ni virus kama wale wa Tunisia na Misri, kaingia UDOM na anaweza kusambaa pande yoyote ndani ya nchi hii kwani kote kuna mazingira rafiki ya kirusi kuishi na ku-multiply.
Employee wa UDOM kaniambia...
sASA KAMA UNA JAMAA ZAKO PALE SI UNGECHEKI NAO TOKEA AWALI SASA UNAULIZA SOURCE YA NINI ILHALI UNA WATU JIKONI;;ficha upuuzi wakoAisee basi ngoja nicheki na jamaa zangu wanafundisha pale may be nitapata information zaidi!hii hali ni hatari sasa hivi shule za kukatakata mitaala inamalizwa kweli maana huwa sioni kama wanaongeza muda wa msomo kufidia hizi siku za migomo na kama hawaongezi maana yake wanafunzi wanapunjwa muda wao wa kuwa darasani ma matokeo yake ndiyo hayo mwanafunzi anamaliza degree lakini anakua na degree jina kichwani hakuna kitu hv hili wahusika hawalioni!
Radio One breaking news.Kuna mtu kaniambia redi fulani imetangaza. Lakini pia, naambiwa kuwa mgomo huo umeahirishwa.
sASA KAMA UNA JAMAA ZAKO PALE SI UNGECHEKI NAO TOKEA AWALI SASA UNAULIZA SOURCE YA NINI ILHALI UNA WATU JIKONI;;ficha upuuzi wako