Wahadhiri Wanne Wafukuzwa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania!


hapo ndipo tulipofikishwa na mfumo usioleweka wa elimu yetu!!! enrollment uchwara mtupu, lecturers uchwara tu, degree uchwara matokeo yake ndo haya. Vyuo vinapotezA hadhi.

tunapenda njia fupi sie duh!! hata pasipostahili.
 

Ndo huu mfumo wetu wa kuleana. usikute walikuwa watoto wa vigogo sasa kuwaadhibu anakuwa mzigo mkubwa!! Kama wamefoji mbona hawafikishwi kwenye vyombo vya sheria?
 
Haya mambo ni ya kuzima kwa nguvu zote. Naamini siyo Open University tu yanafanyika. Hata vyuo vingine. Niliwahi kuona mwanafunzi fulani anahangaishwa pale UD kwenye Faculty ya Political Science/Sociology, nikaishiwa nguvu kabisa. Walionyesha arrogance ya hali ya juu kwa mwanafunzi ambaye nilimuonea huruma sana maana alikuwa hana msaada wa aina yoyote.
Ndivyo walimu wengi walivyo
 
Huu mtindo wa kufanyiwa assignments hata kwa wenzetu Ulaya upo ijapokuwa kwa kiwango kidogo.

Siku moja niliona programme kwenye BBC wakizungumzia kuhusu hilo. Wanfunzi walikuwa wanadownload assignments at a fee kutoka websites fulani halafu wanazipeleka kwa masahihisho. Walikuja kugundua assignments nyengine zilikuwa ni za aina moja ndio wakashtuka na hilo dili.

Sasa tujitahidi tu lakini ni shida sana kuzuia vitu hivi kwa miaka hii ambayo cheating imehalalishwa.
 
MAsikini Juma Kanuwa kweli he was a very cool person but anyway ndio maisha kaka usife moyo kama kweli umeshiriki katika hili jirekebishe na uanze upya.
 
hahaaa wewe ngoshwe!!!

Pesa msema kweli!!!! Unanunua madesa vichwa mpaka na grades!!!

Uko wapi ubora wa elimu sasa?????????? Na hii na imani si open uni tu hata vyuo vingine itakuwepo.

Wat a dirty game!!!!!!!!!

biblia iko wazi

pesa ni jawabu la moyo

sasa kama moyo wao wahadhiri ulikuwa unatamani jawabu mlitaka wakaibe epa????
Vyuo vyote tanzania ni uchafu mtupu

udsm inaongoza kwa ngono

out inaongoza kwa kuhonga

tumain inaongoza kwa wanafunzi feki

mzumbe=nchimbea a.k.a dk hilo sisemi

yupi ana afadhali asie na kosa achukue jiwe awapige;so kama umepita kote uko usinyooshe mdomo;songa mbele
 

heshima mkuu kila chuo kina matatizo yake kama si kuonga ngono basi pesa;vyote;mi nasema nikifika huo itabidi nianzishe changu najisahihishia mwenyewe dk mwenyewe prof mwenyewe
 
Mkuu mshangao wako ni kama vile ndo kwanza unajua hapa kuwa hizo fojari za dizaini hiyo zipo!!!!!!!!

Ur right, lakini haya mambo yanakatisha tamaa, tutafika tu anyway!
 
Hili linazidi kufanya watu waogope kusema kuwa wamesoma degree zao hapa Tanzania!

shule zenyewe za kata

ukifika chuo kikuu ndo ivo tena!

dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…