Wahadizabe wanatufungua akili

Wahadizabe wanatufungua akili

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
842
Reaction score
1,928
Habari wadau poleni na majukumu ya kujenga Taifa.

Moja kwa moja kwenye mada .Nimekuwa nikifuatilia tabia za hawajamaa kwenye matukio yote ya kiserikali mfano sensa na uchaguzi .Hawa jamaa huwa wako makini sana ili uwapate lazima uwape nyama .

Mfano sensa ya mwaka juzi walipewa nyama iliwahesabiwe. Haya jana tena wamepewa nyama ili wajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura kwenye serikali za mtaa .

Maana yake ninini nikwamba jamaa wameshaona hawana cha kupoteza sisi mtupe nyama tule nyie muendelee kujipitisha.

Haingii kwenye akili yani watuwazima na akili zao wakajiandikishe halafu mshindwe kuheshimu sanduku la kura.

Kiufupi nyie muendelee kujipitisha wapeni watu nyama.

Soma Pia: Manyara: RC Sendiga apeleka nyama ya nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ili kushawishi kujiandikisha katika daftari la makazi

Namalizia kwa kusema "NI MWENDO WA KUGARAGARA."
 
Kabisa. Maana kwa hali ilivyo Tanzania upinzani kushinda ni ngumu kwa katiba hii( Mimi ni mpinzani). Sasa basi Cha kufanya hakikisha kwenye huu ujinga CCM inaoufanya na wewe unanufaika.
 
Habari wadau poleni na majukumu ya kujenga Taifa.

Moja kwa moja kwenye mada .Nimekuwa nikifuatilia tabia za hawajamaa kwenye matukio yote ya kiserikali mfano sensa na uchaguzi .Hawa jamaa huwa wako makini sana ili uwapate lazima uwape nyama .

Mfano sensa ya mwaka juzi walipewa nyama iliwahesabiwe. Haya jana tena wamepewa nyama ili wajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura kwenye serikali za mtaa .

Maana yake ninini nikwamba jamaa wameshaona hawana cha kupoteza sisi mtupe nyama tule nyie muendelee kujipitisha.

Haingii kwenye akili yani watuwazima na akili zao wakajiandikishe halafu mshindwe kuheshimu sanduku la kura.

Kiufupi nyie muendelee kujipitisha wapeni watu nyama.

Namalizia kwa kusema "NI MWENDO WA KUGARAGARA."
Sasa wewe unataka tukupe nini ndugu yangu.
 
Wale jamaa wanaulimwengu wao tofauti kabisa. Sijui hata kama wanamatumizi ya hela
Hao viumbe mpaka leo wanatumia barter trade/system! Yaani huwa wanabadilishana bidhaa kwa bidhaa na majirani zao Watatoga. Mfano wanabadilishana asali kwa mishale ya kuwindia, nk.

By the way, wapo Wahadzabe wachache waliosoma. Hivyo walau wakati fulani hutumika kama wakalimani kwa wenzao.
 
Sasa watapiga kura mtaa gani? Hawana makazi ya kudumu, wanahama hama kila kukicha.
 
Back
Top Bottom