Wqhalifu wamechafua nchiKuna Ecuador pia nimeona wahalifu wamechafua nchi.
Haiti huko makundi ya wahalifu ndy wana ongoza nchiMsiisahau Haiti. Ambao wameomba msaada wa polisi milioni toka umoja wa mataifa, na Kenya inapeleka laki moja ili kukabiliana na wahalifu.
Mkuu, wew kuwa civilized haimaanishi watu wote wapo civilized, sometimes mbinu pekee ya kudeal na wahalifu ni shaba tu, ukiwachekea nao watakuangushia mzigo,Wqhalifu wamechafua nchi
Na wahalifu wote huko wanaungana
Kupambana na serikali
Serikali ikitumia nguvu na wao wanatumia nguvu
Serikali ikae chini iangalie namna ya kupunguza uhalifu,uhalifu unapungua kutoka kwa hao hao wahalifu
Na ukiona nchi ni failed state basi kuna shida na watu wanaamua kutafuta utawala wao
Ova
Uhalifu wa South Africa ni suala la kihistoria zaidi kuanzia kutoka utawala wa apartheid wa makaburu na mapambano yake. Silaha zilizotumika katika mapambano hayo na kushambuliana katika misingi ya rangi bado ziko nyingi na zimezagaa mitaani. Jambo lingine baadhi ya maeneo ya watu weusi huku Africa Kusini yana umaskini wa kutisha na hali mbaya sana ya upatikanaji wa huduma za kijamii. Haya ukichanganya na pengo kubwa sana la matajiri na masikini pamoja na ufisadi uliokithiri hali ya uhalifu lazima iwe mbaya sana.Si kweli mkuu. South Africa wana maisha mazuri kuliko sisi ila ndiyo vinara wa uhalisfu duniani. Brazil wanamaisha na fursa kuliko sisi ila ni vinara kwa uhalifu. Hata US kuna majiji ni hatari kuliko miji mingi ya Africa. Wahalifu wengi ni watu wenye hulka za ki anti social, kisociopath na kipsychopath. Wakiona mamlaka ni legelege hamna picha wataacha kuwaonyesha.
Hawa jamaa wanakuja mchana kweupe kusafisha mchana kisa mbwa tu kapotea.Si kweli mkuu. South Africa wana maisha mazuri kuliko sisi ila ndiyo vinara wa uhalisfu duniani. Brazil wanamaisha na fursa kuliko sisi ila ni vinara kwa uhalifu. Hata US kuna majiji ni hatari kuliko miji mingi ya Africa. Wahalifu wengi ni watu wenye hulka za ki anti social, kisociopath na kipsychopath. Wakiona mamlaka ni legelege hamna picha wataacha kuwaonyesha.
Ma shaa AllahEl Salvador ni nchi ndogo ya Amerika ya Kati. Ina watu kama milioni saba hivi. Lakini ni nchi ambayo ilikuwa imeandamwa vibaya sana na magenge ya uhalifu na mauaji. Ilikuwa ni moja ya nchi zinazoongoza duniani kwa mauji. Kati ya watu laki moja watu 53 waliuwawa kwa mwaka(Nchi kama Tanzania ni watu kama 5 wanauwawa kwa kila watu laki moja).
Mwaka 2019 El Salvador walimchagua Nayib Bukele mwenye miaka 37 kuwa Rais wao. Moja ya ahadi yake kubwa ilikuwa ni kupambana na uhalifu. Baada ya kuingia madarakani akajenga gereza kubwa la kuchukua wafungwa kama 60,000. Ikaanza kamata kamata ya wote wenye tatuu za magenge na wote waliotiliwa shaka ya uhalifu. Na sheria zikabadilishwa ili aweze kuwashikilia na kuwashtaki kirahisi. Mpaka sasa inadaiwa kuwa zaidi ya watu 73,000 wamekamatwa na gereza lile kubwa lina watu 40,000 mpaka sasa.
Matokeo yake ni El Salvador kutoka kuwa moja ya nchi hatari duniani hadi kuwa nchi salama zaidi katika Latin Amerika. Vifo kutokana na mauaji kati ya watu 100,000 vilitoka 53 hadi 2.4! Leo watu wengi wanashangilia hilo. Bahati mbaya au nzuri vyombo vya haki za binadamu vimeanza kupiga kelele kuwa anashikilia watu kinyume na sheria!!
Wahalifu gerezani humo.
View attachment 2867360
Kwa nini nchi za Ulaya na baadhi ya nchi kama Japan na Canada zina kiwango kidogo sana cha uhalifu??Mkuu, wew kuwa civilized haimaanishi watu wote wapo civilized, sometimes mbinu pekee ya kudeal na wahalifu ni shaba tu, ukiwachekea nao watakuangushia mzigo,
Hio ni sababu hata USA wana magereza ya kikatili na wanatoa adhabu ya kifo, usicheke na kima kabisa
Dawa ya uhalifu duniani ni kuwa na Sharia.Uhalifu wa South Africa ni suala la kihistoria zaidi kuanzia kutoka utawala wa apartheid wa makaburu na mapambano yake. Silaha zilizotumika katika mapambano hayo na kushambuliana katika misingi ya rangi bado ziko nyingi na zimezagaa mitaani. Jambo lingine baadhi ya maeneo ya watu weusi huku Africa Kusini yana umaskini wa kutisha na hali mbaya sana ya upatikanaji wa huduma za kijamii. Haya ukichanganya na pengo kubwa sana la matajiri na masikini pamoja na ufisadi uliokithiri hali ya uhalifu lazima iwe mbaya sana.
Nchi za Ulaya Magharibi na Scandinavian, Japan na Canada ndizo nchi zenye viwango vidogo sana vya uhalifu na hukuna masheikh wanaopiga daawa magerezani.Ma shaa Allah
Sasa awapelekee Masheikh wawe wanawapiga daawa magerezani, kama wanavyofanya USA.
Mbona Ulaya Magharibi, Scandinavian, Japan na Canada hakuna Sharia ila ndio nchi zenye viwango kidogo zaidi vya uhalifu duniani??Dawa ya uhalifu duniani ni kuwa na Sharia.
Weka ushahidi wa sheria zao.Mbona Ulaya Magharibi, Scandinavian, Japan na Canada hakuna Sharia ila ndio nchi zenye viwango kidogo zaidi vya uhalifu duniani??
MAshirika ya haki za binadamu ni wapumbavu sana. Kwanini hawapigi makelele pale magenge ya wahalifu yanapofanya utekaji na mauaji? Kwao haki za wahalifu ni bora zaidi kuliko uhai wa raia unanyakuliwa na magenge hayo.Vifo kutokana na mauaji kati ya watu 100,000 vilitoka 53 hadi 2.4! Leo watu wengi wanashangilia hilo. Bahati mbaya au nzuri vyombo vya haki za binadamu vimeanza kupiga kelele kuwa anashikilia watu kinyume na sheria!!
Haiti ni dola lilishondwa, sawa tu na Somalia, Yemen na Afghanistan. Wa-Ecuador waliposhika wasiachilie. Hapo hapo waendelee kukaza. Hakuna kuongea na wahalifu.Haiti huko makundi ya wahalifu ndy wana ongoza nchi
Polisi na majeshi ya Haiti wamesanda
Ova
Kuna mhalifu akamlaumu mhalifu?MAshirika ya haki za binadamu ni wapumbavu sana. Kwanini hawapigi makelele pale magenge ya wahalifu yanapofanya utekaji na mauaji? Kwao haki za wahalifu ni bora zaidi kuliko uhai wa raia unanyakuliwa na magenge hayo.
Hakuna nchi ya Ulaya yenye Sharia, Japan na Canada hakuna Sharia pia.Weka ushahidi wa sheria zao.
Kasome history ya Japan, Wajapan hawa wamestaarabika miaka ya karibuni, ila wamenyooshana sana huko nyuma, same to SK,Kwa nini nchi za Ulaya na baadhi ya nchi kama Japan na Canada zina kiwango kidogo sana cha uhalifu??
Ahh dada yangu kipenzi weekendKuna mhalifu akamlaumu mhalifu?
Tanzania vp tuweke shariaDawa ya uhalifu duniani ni kuwa na Sharia.
Laki moja watabaki na kitu kweli huko kenyaMsiisahau Haiti. Ambao wameomba msaada wa polisi milioni toka umoja wa mataifa, na Kenya inapeleka laki moja ili kukabiliana na wahalifu.