Wahalifu siyo wa kucheka nao, hiki ndicho walichofanya El Salvador

Kunyooshana kunapaswa kuende sawa na upatikanaji wa fursa nyingine muhimu za maisha kwa raia kama elimu na biashara, udhibiti wa rushwa, upatikanaji madaraka kwa njia halali na huduma bora za kijamii. Kunyooshana tu bila haya mengine hakusaidii kitu.
 
Kunyooshana kunapaswa kuende sawa na upatikanaji wa fursa nyingine muhimu za maisha kwa raia kama elimu na biashara, udhibiti wa rushwa, upatikanaji madaraka kwa njia halali na huduma bora za kijamii. Kunyooshana tu bila haya mengine hakusaidii kitu.
Hapo tunakubaliana, kama nilivyokuambia mwanzo, watu wakizidi uhalifu wanyooshe, kisha leta hizo huduma kuzuia wimbi la pili, pia hizo nch za latin nying ni madawa tu ndo yanatesa, ila huduma za kijamii zipo poa kabisa,
 
Nyie Chadema si mnalaumu panya road kuliwa chuma?
 
Tanzania vp tuweke sharia
Labda ufisadi ,uwizi utapungua

Ova
Niliwahi kuandika hivi:

 
Hutofika hata hizo siku 100,kwani unafanya kazi na malaika?
 
Kuna nchi kiongozi ukileta fyoko fyoko wanaanza na wewe,wakikushindwa wanahamia kwenye familia yako wanawapoteza wapendwa wako hadi utaomba poo.
 
Yaah! Uko sahihi mkuu. Haiti waliomba msaada wa polisi elfu 3 (Wala siyo milion moja) toka umoja wa mataifa . Na Kenya ikaridhia kupeleka polisi elfu moja. Sorry.
Na sisi tungepeleka jamaa zetu wakachangamshwe kidogo.
 
Bila kusahau involvement ya west na Biashara za madawa ya kulevya kwenye nchi za kilatino, kuna madon wakubwa wakubwa ambao bila kutumia nguvu hutoboi,

Mujica wa Uruguay pia alipigana sana na hawa watu alivyowashinda ghafla uchumi wa Uruguay ukapaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…