Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wakiondoka nafasi zitakosa watu wa kuzishika?Wahamiaji haramu wengine ni viongozi ndani ya serikali,wengine ndani ya vyama vya siasa ni pagumu hapo.
Zoezi la kuwaondoa wahamiaji haramu wa kutoka Rwanda likimalizika ni vyema na wahamiaji haramu kutoka nchi zingine nao wakasakwa na kutakiwa kuondoka. Zoezi lisiishie kwa hao tu. watanzania tunajuana nani Mzaramo na nani Msukuma au Mgogo
wakenya ni wengi sana, wamekuja tz wameoa watz na kujimilikisha ardhi. Wapo Mwanza, Arusha na Dar es salaam kwa wingi. Wasakwe kwani muda wa kuondoka wenyewe walishapewa. Wanaziba fursa za ajira. Tanzania ni ya watanzaniami naona Wakenya wangerudishwa kwao kama wanyarwanda kwanza wamejaa kwenye shule za watu binafsi pitia shule zote za english medium hapa jijini wengi wao ni wakenya i think its now for kenyans to go back to their origin.
Zoezi la kuwaondoa wahamiaji haramu wa kutoka Rwanda likimalizika ni vyema na wahamiaji haramu kutoka nchi zingine nao wakasakwa na kutakiwa kuondoka. Zoezi lisiishie kwa hao tu. watanzania tunajuana nani Mzaramo na nani Msukuma au Mgogo